Ni matamanio ya kila anayetaka kuingia kwenye ndoa kumpata mwenza mwenye hofu ya Mungu.
Hizi ndiyo mbinu za kumtambua mtu mwenye hofu ya Mungu (zimepangwa kwa umuhimu):-
(a) Mchokoze/mkorofishe achukie.
Usingie na mtu kwenye ndoa bila kujua anakasirikaje, akikasirika huwa hasira zake zina kiasi ama la? Huwa hasira zake zinampelekea kuua, kujeruhi, ama kufanya mambo gani? Na je, akikasirika huwa anasamehe??
Ktk kulibaini hili, mkorofishe kwa kutotimiza ahadi. Pangeni ahadi ya kwenda mahali. Yeye ajipange huko lkn wewe utulie tu, dakika chache kabla ya muda kutimia useme hujisikii kwenda.
Pia mkorofishe kwa kuanzisha ugomvi usiokuwa na kichwa wala miguu. Kisha umnase kibao halafu uondoke. Baada ya siku mbili ndiyo jifanye kuomba radhi.
Akikusamehe ktk hayo matukio mawili huyo ana hofu ya Mungu.
(b) Jifanye na umwambie unaumwa, una tatizo kubwa au umechoka sana. Ukipewa pole wewe una hofu ya Mungu.
(c) Mpe zawadi duni uone reaction yake. Ukiona anakufokea kwamba "mm unanionaje? Mm ndiyo wa kuniletea ...? Ujue huyo hana hofu ya Mungu. .Akikupa asante huyu ana hofu ya Mungu.
Hofu ya Mungu inajengwa na mambo matatu:-
(a) kusamehe,
(b) kuwa na moyo wa shukurani
(c) kuwa na huruma.
Hizi ndiyo mbinu za kumtambua mtu mwenye hofu ya Mungu (zimepangwa kwa umuhimu):-
(a) Mchokoze/mkorofishe achukie.
Usingie na mtu kwenye ndoa bila kujua anakasirikaje, akikasirika huwa hasira zake zina kiasi ama la? Huwa hasira zake zinampelekea kuua, kujeruhi, ama kufanya mambo gani? Na je, akikasirika huwa anasamehe??
Ktk kulibaini hili, mkorofishe kwa kutotimiza ahadi. Pangeni ahadi ya kwenda mahali. Yeye ajipange huko lkn wewe utulie tu, dakika chache kabla ya muda kutimia useme hujisikii kwenda.
Pia mkorofishe kwa kuanzisha ugomvi usiokuwa na kichwa wala miguu. Kisha umnase kibao halafu uondoke. Baada ya siku mbili ndiyo jifanye kuomba radhi.
Akikusamehe ktk hayo matukio mawili huyo ana hofu ya Mungu.
(b) Jifanye na umwambie unaumwa, una tatizo kubwa au umechoka sana. Ukipewa pole wewe una hofu ya Mungu.
(c) Mpe zawadi duni uone reaction yake. Ukiona anakufokea kwamba "mm unanionaje? Mm ndiyo wa kuniletea ...? Ujue huyo hana hofu ya Mungu. .Akikupa asante huyu ana hofu ya Mungu.
Hofu ya Mungu inajengwa na mambo matatu:-
(a) kusamehe,
(b) kuwa na moyo wa shukurani
(c) kuwa na huruma.