Mwenye CV ya Mrisho Mpoto

Mwenye CV ya Mrisho Mpoto

pitbull

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
596
Reaction score
186
naomba mwenye kujua cv ya huyu jamaa au kiwango chake cha elimu maana chuoni kwetu kesho kuna philosophical forum na yeye ndio mzungumzaji mkuu so nlitaka kujua uwezo wake intellectually.!
 
naomba mwenye kujua cv ya huyu jamaa au kiwango chake cha elimu maana chuoni kwetu kesho kuna philosophical forum na yeye ndio mzungumzaji mkuu so nlitaka kujua uwezo wake intellectually.!

Anabusara za kawaida ila anasoma sana vitabu..amegundua wabongo wengi vilaza kung'amua mafumbo mjiandae vijembe
 
naomba mwenye kujua cv ya huyu jamaa au kiwango chake cha elimu maana chuoni kwetu kesho kuna philosophical forum na yeye ndio mzungumzaji mkuu so nlitaka kujua uwezo wake intellectually.!


nenda ukajaji uwezo na upeo wake sio shule ake kuna watu wako bright sana na hawana cv nene kama unavotaka
 
Anayajua sana Mashairi ( Mjomba) lakini nafikiri kama ameenda shule sana sana itakuwa kule Kaole na Bagamoyo kwenye maigizo ya kisanaa sanaa: Pia Nasikia ameshatangaza Nia Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya sisiem.

Ukiona mtu anakuwa kwenye matangazo ya TV, kwenye advert na Promotion za biashara basi shule zao uwa ni fupi tu ( Form four division Five or Form Six division five);Huyu ni mburudishaji (Kimakonde anaitwa "The intertainer").
 
naomba mwenye kujua cv ya huyu jamaa au kiwango chake cha elimu maana chuoni kwetu kesho kuna philosophical forum na yeye ndio mzungumzaji mkuu so nlitaka kujua uwezo wake intellectually.!


ndmpoto anasnenda ukajaji uwezo na upeo wake sio shule ake kuna watu wako brighght sana na hawana cv cv nene kama unavotaka
 
bora nkamsikilize kwakeli manake he can make me change the way i was think about him.!
 
Anayajua sana Mashairi ( Mjomba) lakini nafikiri kama ameenda shule sana sana itakuwa kule Kaole na Bagamoyo kwenye maigizo ya kisanaa sanaa: Pia Nasikia ameshatangaza Nia Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya sisiem.

Ukiona mtu anakuwa kwenye matangazo ya TV, kwenye advert na Promotion za biashara basi shule zao uwa ni fupi tu ( Form four division Five or Form Six division five);Huyu ni mburudishaji (Kimakonde anaitwa "The intertainer").

amaizing ! yaan hapo sisiem aende uko kwa wamakonde
 
Mkuu Rumburia uliza tena hilo swali kwa pitbull asipojibu mie ntampiga tuition na nitadai fee
 
bora nkamsikilize kwakeli manake he can make me change the way i was think about him.!

Mkuu,sentensi yako ya kimakonde imenifanya nikitilie wasiwasi chuo chenu,hapana shaka kimejaa standardization,ni haki tu mpoto awe msemaji mkuu kwenu,maana kawazidi mbali sana,.

Anyway;binafsi namkubali sana huyu jamaa(mjomba) katika mashairi yake hasa lile la WAITE na CHOCHEENI. Sina hakika na uwezo wake kielimu lakini kwa kipaji cha sanaa yule jamaa ni gifted.

Mjomba-katika wimbo wake wa WAITE-alisema,"...kuna michezo mingine ukicheza peke yako,lazima ushinde...lakini kwa huuunahitji mashabiki..." semi kama hizi zimejaa hekima na busara jarabati kiasi kwamba ananishawishi na sijui kama navyoshawishika kumwagia sifa kemkem ni sawia na anavyowashawishi wenzangu,because we,human beings,differ in the way of perception and deciphering.

NB;elimu ya darasani isiwe kigezo kumhukumu mtu kama huyu,kuna wengine ni gifted.
 
Mkuu,sentensi yako ya kimakonde imenifanya nikitilie wasiwasi chuo chenu,hapana shaka kimejaa standardization,ni haki tu mpoto awe msemaji mkuu kwenu,maana kawazidi mbali sana,.

Anyway;binafsi namkubali sana huyu jamaa(mjomba) katika mashairi yake hasa lile la WAITE na CHOCHEENI. Sina hakika na uwezo wake kielimu lakini kwa kipaji cha sanaa yule jamaa ni gifted.

Mjomba-katika wimbo wake wa WAITE-alisema,"...kuna michezo mingine ukicheza peke yako,lazima ushinde...lakini kwa huuunahitji mashabiki..." semi kama hizi zimejaa hekima na busara jarabati kiasi kwamba ananishawishi na sijui kama navyoshawishika kumwagia sifa kemkem ni sawia na anavyowashawishi wenzangu,because we,human beings,differ in the way of perception and deciphering.

NB;elimu ya darasani isiwe kigezo kumhukumu mtu kama huyu,kuna wengine ni gifted.

mkuu unaweza kinieleza hiyo sentensi yangu yang ya kimakonde ina makosa gani and if possible unirekebishe!
 
can somebody help me with that sentence? am not perfect.!
 
can somebody help me with that sentence? am not perfect.!

Ingekuwa .........I think/thought about him. Ni katika hali adimu sana vitenzi vinavyoonesha mtazamo, hisia, hali(state) kubeba ''....ing'' Ukishatumia was plus verb, verb ya pili itakuwa kwenye 'ing' form ikiwa na maana ya Past continous Tense.
 
naomba mwenye kujua cv ya huyu jamaa au kiwango chake cha elimu maana chuoni kwetu kesho kuna philosophical forum na yeye ndio mzungumzaji mkuu so nlitaka kujua uwezo wake intellectually.!

Mkuu hao unaowataka ndio waliotufikisha hapa,ndio walio-sign fedha za epa/escrow and the like,walio-sign mikataba ya mdani/gesi ambayo hata wewe mwenzangu na mimi wangeandika kiswahili tusinge-sign,nenda kasikilize hoja zake,kiwango cha elimu na ugeni rasmi ni vitu viwili tofauti.
 
kusahihishana viingereza kwa nini, km mtu ameelewa kinachoongelewa si basi, kwani lugha ni nini (lugha inshort and clear kuelewana kwa wanaoongea)
 
Back
Top Bottom