Mwenye CV ya mgombea wa CHADEMA Chalinze Mathayo Torongey

Mwenye CV ya mgombea wa CHADEMA Chalinze Mathayo Torongey

huyu jama namfaham sana subirin mda si mrefu nitawaletea cv yake.
 
Mkuu wangu Rich Pol

Hata mimi nashangaa makamanda badala ya kuleta CV wanakuja na maelezo marefu ambayo hawakuombwa.

Wiki iliopita wenyewe waliweka CV ya yule dada mgombea wa Kalenga, na walimsifia sana leo wamebadika wanasema CV siyo muhimu.

CC; chama Mingoi MSALANI lusungo

Ha ha ha

Mkuu wangu Ritz

Hao bavicha wanaojidai kwa elimu zao za vigango ni mburulaz sana..

Wana akili fupi kuliko maisha ya tunutu...
Hao hao ndo hujitapa hapa kuwa babu yao ana elimu kubwa.. Wakiulizwa kuhusu DJ wanaleta hadithi nyingine..

Juzi nimewaambia ingawa wapo wengi humu lakini wanapelekwa puta na uchache wetu..

Kuna yule mtawa wao Nicholas siku hizi kaishiwa hoja kabaki kutetea uchaga wake..

Watuwekee hiyo CV ya mchoma kitimoto wa Arusha tuione...
Kutwa kutukana oh waswahili hivi or Mara vile chakushangaza wanashindwa hoja za waswahili teh teh teh
Erythrocyte Mungi kibogo Nicholas Yericko Nyerere #baba v leteni CV ya huyu mchoma kitimoto wa Arusha hapa..
 
Last edited by a moderator:
Weka ya kwako kwanza

Acha kuifananisha akili yako na ya huyo kwenye avatar yako..

Kama unaitaka ya huyo anzisha thread yake utawekewa habari ya mjini ni ya mchoma kitimoto torongey

Tunataka CV ya mgombea wenu wa CHZ mbona hamuwekii?
 
Mkuu nadhani uongozi ni talanta na siyo maambukizi ya ujuaji (tunaita elimu au CV) hizo CV tunazopigania kila siku hapa hazikushushwa toka mbinguni ni binadamu wenzetu kwa upeo wao waliona inafaa kitu hiki kuwa hivi na kikawa na kikakubalika kuwa ndio kibali au kipimo cha ujuaji! Vitabu vya MUNGU vimesema juu ya Elimu "Chunga sana elimu asije akaenda zake" lakini haimaanishi hizo CV's tu tunazopigania hapa maana yake kubwa ni mwanadamu usiwe mvivu wa kutafakari na kuamua kwa hekima. Tukijua nini maana halisi ya Elimu hakika hakuna atakaye mdharau mwenzie kwani kila mtu ana elimu kichwani, au kwa ufupi binadamu anapokuwa na utashi wa kutafuta majibu ya vikwazo juu ya maisha yake hiyo tayari ni elimu! huu upofu tuliobatizwa na watu wa magharibi umeupiga ganzi bongo zetu tuone kuwa hatuna taaluma au elimu! hayo ma CV ni kukopi na kupest maana ni mamiaka mamilioni watu hukariri maandishi hayo hayo tu kinachobadilika ni rangi ya vitabu na maandishi katika lugha tofauti! tuwe wepesi wa kujiamini na sio wepesi wakutokuamini kile bongo zetu ziwashapo taa ya majibu! cha muhimu hapa tuangalie hekima/Busara na kipawa cha uongozi na sio utawala unaokumbatiwa mara nyingi na kava la CV's

We mgambo usituletee habari ya talanta hapa hizo tusubiri tukija kanisani..

Kama waliweka ya yule wa kalenga leo talalila za nini?

Hapa tunataka CV
 
Wanaukumbi.

Kuna utata wa elimu ya mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chadema Mathayo Torongey, kuna wengine wanasema kasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wengine wanasema kasoma Uingereza.

Mwenye CV yake tunaomba atuwekee kama walivyofanya kwa Grace Tendege, mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga.

Ni vizuri tukajua viwango vya elimu vya mgombea kama utaratibu wetu humu JF.
Kwa elimu unayo claim kuwa nayo wewe mwenyewe,ingeweza sana kukusaidia kuwa na upeo wa kina na upembuzi yakinifu ambao ungetoa mwanga kwa wanajamvi wengine.
Before exposing yourself how empty you are (upstairs),you should have taken a few minutes to go through two different things,which are Education Vs Civilization.
Mkuu Ritz,Definiton ya Elimu inaweza kuwa tofauti kabisa na unavyoielewa kwa upeo mdogo ulionao,ndiyo maana natilia shaka elimu yako kwa ujumla kwani haikutofautishi na wale unaodhani hawajaelimika.(from your point of view).
Civilization ni hatua zaidi ya kuelimika, ndiyo maana asilimia kubwa sana ya watu wanaweza kuwa wameelimika lakini hawajastaarabika.(mfano ni Viongozi wengi serikalini ukiwemo na wewe mwenyewe,mnaweza kuwa mmeelimika lakini hamjastaarabika).
Na kinachotutesa zaidi hapa Tz na mataifa mengi ya Barani Africa ni lack of Civilization.
Characteristic mojawapo ya kutostaarabika ni UCHOYO/UBINAFSI.
Mataifa ya wenzetu yanaonekana kuwa tofauti na sisi kwani wao walishavuka stage hiyo ambayo sisi bado, na itatuchukua kipindi kirefu kutoka hapo hasa tukiwa na watu kama wewe ambao tungetegemea kujifunza mengi toka kwenu mliobahatika kuwa nje ya nchi,lakini kwa bahati mbaya umepata elimu ukasahau kujifunza ustaarabu.
Wenzetu ktk Civilization kuna kitu au characteristic ya SHARING,wakati sisi ni uchoyo(Survival mechanism)
Civilization ni elimu inayopatikana kwa kupata exposure. You meet different people ktk mazingira tofauti na kujua life its about sharing, tofauti na wewe baada ya masomo hufikirii kuwatumikia watz ili wapate huduma muhimu za kijamii,what is going on in your mind is Selfishness bila kujali kilio cha wengine.Tabia ya kujilimbikizia mali ambayo hata huihitaji for the coming 10 yrs.
Huu ndiyo mfano wa viongozi wengi tulionao hapa nchini,ndiyo maana Rushwa,Biashara haramu havitakoma kwani ni miradi ya walewale viongozi(ambao wameelimika lakini hawajastaarabika) They are not there for the interest of their country,but for the interest of matumbo yao. And to make things worse,bible inasema apendaye fedha hatashiba fedha.
Hivyo mkuu kwa kifupi ni kwamba, to be Civilized is better than just being educated. We need to be Civilized mkuu. Na wewe ulitakiwa uwe mmoja wa walimu wazuri kutufundisha Civilization badala ya kutuonyesha kuwa na wewe pia hukubahatika kustaarabika.
Fuatilia taratibu tabia za viongozi wasiostaarabika hapa nyumbani halafu fuatilia elimu zao(CV) walizonazo japo zingine ni za ku copy na ku paste huko ughaibuni na kwinginepo. Ni wabinafsi na wachoyo. Na ndiyo maana wale unaodhani hawana elimu wanapochoka kudai haki yao,in the end because of lack of education,they feel as if they have got nothing to lose, and once they loose their hope,they are capable of doing whatever it takes to satisfy them. Ndiyo maana unakuta wapo wanaojilipua,ni kwasababu hawana matumaini na wanadhani hawana cha kupoteza hata wakikufanyizia wanaona liwalo na liwe.
Nadhani umepata picha kidogo ya ninachojaribu kufafanua mkuu.
Pole sana kukuchosha na maelezo mengi najua uko mvivu kidogo kusoma maelezo marefu.
Tusaidie kuliponya taifa kwa michango inayojenga mkuu.Tafiti kabla ya kujikwaa kwenye keyboard na kutoa hoja hafifu kama hizi. Soma historia ya John Major(former UK PM) hasa kuhusu elimu yake.Alikacha shule akiwa na 15yrs na alipata kazi kama bus Conductor,lakini baadaye huyohuyo bus conductor aliweza kuongoza UK na aliwezakum challenge msomi Tony Blair ktk Vikao mbalimbali. Hii kwa upeo wako unavyoichukulia elimu,usingetegemea John Major ku reason na Tony Blair aliyekuwa msomi, ni Civilized Environment ambayo alikuwanayo ndiyo ilimsaidia.
Sasa kinyume chake,chukua hata kwetu Tz,tuna Wasomi wa hali ya juu (Doctors and Professors) lakini hawajastaarabika,na matokeo yake ndiyo hayo matatizo yasiyokwisha Tz kila siku.
Nina mengi ya kujibu hoja yako,ngoja nisikuchoshe sana mkuu.Thank you.
 
Hatuitoi kaitafute wewe mwenyewe mwenye shida ya hiyo CV, kwani wakati Lameck Airo, Maji Mrefu na Lusinde walipokuwa wakigombea uliomba CV zao?

CDM walivyo kimbelembele lazima wangetoa,itakuwa hamna Shule kama MBOE.
 
Mkuu wangu Rich Pol

Hata mimi nashangaa makamanda badala ya kuleta CV wanakuja na maelezo marefu ambayo hawakuombwa.

Wiki iliopita wenyewe waliweka CV ya yule dada mgombea wa Kalenga, na walimsifia sana leo wamebadika wanasema CV siyo muhimu.

CC; chama Mingoi MSALANI lusungo

Mkuu Ritz
Hapo hakuna CV ni kichekesho kitupu; misekure ya chadema ikilishwa pumba itasema chochote; Lema anasubiri kula deal ya chopa kufanyia kampeni anajua kabisa ushindi hakuna analazimisha kutafuta amalizie mjengo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz
Hapo hakuna CV ni kichekesho kitupu; misekure ya chadema ikilishwa pumba itasema chochote; Lema anasubiri kula deal ya chopa kufanyia kampeni anajua kabisa ushindi hakuna analazimisha kutafuta amalizie mjengo

Siasa zina vituko vyake, ama kwel yakubidi ujitoe ufaham ili uishi siasani. Nyeupe leo kesho inaitwa nyekundu.
Ndiyo leo kesho inakua sio.
Chadema wakiwasema pro-ccm ni wezi kule serekalini ccm wote huingia mitini na wachache wanakuja hapa jf kubwabwaja pumba za kujitetea.

Ccm wakiwasema pro-chadema viongozi wao wezi wanakula ruzuku za chama bila kunawa, misukule wote wanaingia mitini na wachache wanakuja jf kutema pumba.

Wiki iliyopita chadema wameleta cv za mgombea wa kalenga bila hata kuombwa.
Leo wameombwa cv za mgombea wa chalinze, wanatema pumba kuwa elimu haina umuhimu mradi sheria inasema awe anajua kusoma na kuandika.

Kwa mbaaali ni kama ilivyokua kwenye uteuzi wa waziri wa fedha, pro-chadema walikandia sana wakati huohuo pro-ccm wakitetea sana.

Ndo naanza kuamini kuwa siasani kumejaa wapumbavu watupu kama sio wajinga wa mwisho miongoni mwa makundi ya wanajamii....

Double standards za namna hii haziwezi kujenga nchi hata siku moja. Penye ukwel pasemwe hata kama panakuhusu.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha

Mkuu wangu Ritz

Hao bavicha wanaojidai kwa elimu zao za vigango ni mburulaz sana..

Wana akili fupi kuliko maisha ya tunutu...
Hao hao ndo hujitapa hapa kuwa babu yao ana elimu kubwa.. Wakiulizwa kuhusu DJ wanaleta hadithi nyingine..

Juzi nimewaambia ingawa wapo wengi humu lakini wanapelekwa puta na uchache wetu..

Kuna yule mtawa wao Nicholas siku hizi kaishiwa hoja kabaki kutetea uchaga wake..

Watuwekee hiyo CV ya mchoma kitimoto wa Arusha tuione...
Kutwa kutukana oh waswahili hivi or Mara vile chakushangaza wanashindwa hoja za waswahili teh teh teh
Erythrocyte Mungi kibogo Nicholas Yericko Nyerere #baba v leteni CV ya huyu mchoma kitimoto wa Arusha hapa..

Hivi huo mwamko wa kudai CV kwa Pupa umefikiria kuleta CV ya Mgombea wenu Kalenga?Mmezuga hadi uchaguzi unafanyika kesho.

Yaani haya matusi ndio itakua ajenda ya uchaguzi
 
Last edited by a moderator:
Hivi huo mwamko wa kudai CV kwa Pupa umefikiria kuleta CV ya Mgombea wenu Kalenga?Mmezuga hadi uchaguzi unafanyika kesho.

Yaani haya matusi ndio itakua ajenda ya uchaguzi


Mkuu mbona lugha nyepesi sana?

Hii thread ni ya kuomba CV ya mgombea wa chadema huko CHZ mambo ya mgimwa yanakujaje?

Mbona Kalenga mlituwekea CV ya mama Yetu vipi CHALINZE?

kamanda mbona unagwaya? Tunataka CV ili tujue wasifu wa mgombea huwezi jua lanba tutamchagua..

CV inagharimu si juu ya 56KB uki upload... Tujaalie Mkuu Mioyo yetu itulie
 
Cv ya mwana mfalme iko wapi?

Mwanamfalme ana Elimu ya shahada ya sheria toka UDSM...

Ni wakili wa Mahakama kuu

Ni mfanyakazi wa IMMA advocates

Haya tuleteeni ya Mgombea wenu basi mbona porojo nyingi?
 
Wanaukumbi.

Kuna utata wa elimu ya mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chadema Mathayo Torongey, kuna wengine wanasema kasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wengine wanasema kasoma Uingereza.

Mwenye CV yake tunaomba atuwekee kama walivyofanya kwa Grace Tendege, mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga.

Ni vizuri tukajua viwango vya elimu vya mgombea kama utaratibu wetu humu JF.

umewachokoza vifaranga...hawatojibu badili yake watajibu swali kwa swali kama walevi wa gongo la Slaa.
 
acha story nyingi wewe frajosmal...kama mgombea wenu hana shule si mseme tu.

John Major alikuwa honest enough kusema hana shule...mbona nyinyi hamuigi mfano wake kusema mgombea wenu hana shule na ni mchoma nyama ya nguruwe mstaafu kama wanavyodai baadhi ya wanajamii hapa???
 
ukijua cv yake itakusaidia nini? mbona watu wa PHD lakini ovyo kabisa si mara mia tuweka mtu ambaye anajua kusoma na kuandika tu, ujinga mtupu kila wakati cv, weka ya kwako bac na ww
 
Back
Top Bottom