Ha ha ha
Mkuu wangu
Ritz
Hao bavicha wanaojidai kwa elimu zao za vigango ni mburulaz sana..
Wana akili fupi kuliko maisha ya tunutu...
Hao hao ndo hujitapa hapa kuwa babu yao ana elimu kubwa.. Wakiulizwa kuhusu DJ wanaleta hadithi nyingine..
Juzi nimewaambia ingawa wapo wengi humu lakini wanapelekwa puta na uchache wetu..
Kuna yule mtawa wao Nicholas siku hizi kaishiwa hoja kabaki kutetea uchaga wake..
Watuwekee hiyo CV ya mchoma kitimoto wa Arusha tuione...
Kutwa kutukana oh waswahili hivi or Mara vile chakushangaza wanashindwa hoja za waswahili teh teh teh
Erythrocyte Mungi kibogo Nicholas Yericko Nyerere #baba v leteni CV ya huyu mchoma kitimoto wa Arusha hapa..