DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Mwigulu na Chenge wenye vishahada wamelisaidia nini taifa?huyo jamaa hata mlango wa shule hajui unafananaje
Mwigulu na Chenge wenye vishahada wamelisaidia nini taifa?huyo jamaa hata mlango wa shule hajui unafananaje
Iliwahi kuombwa cv ya Mbowe humu lakini mpaka leo sijaiona. Isije kuwa na huyu mgombea nae haitopatikana.
Nawashangaa akina Mohamedi Mtoi kwanini hawataki kuweka cv ya huyu mgombea wao. Kuwa na cv si lazima awe na shahada za vyuo, inaweza kuwa hajasoma sana lakini kaelimika.
Makamanda mpo wapi mbona huyu mgombea wa Chadema, Chalinze amuweki CV yake kama yule mama wa Kalenga.
Tupe ya huyo teja wenu.
mbona pingamizi ameshinda?Si cuf walimwekea pingamizi kwamba hajui kusomaHajui kusoma wala kuandika
Soma majibu ya pingamizi lake utajua Cv yake.......Iliwahi kuombwa cv ya Mbowe humu lakini mpaka leo sijaiona. Isije kuwa na huyu mgombea nae haitopatikana.
Nawashangaa akina Mohamedi Mtoi kwanini hawataki kuweka cv ya huyu mgombea wao. Kuwa na cv si lazima awe na shahada za vyuo, inaweza kuwa hajasoma sana lakini kaelimika.
Weka ya kwako kwanza
Soma majibu ya pingamizi lake utajua Cv yake.......
Iliwahi kuombwa cv ya Mbowe humu lakini mpaka leo sijaiona. Isije kuwa na huyu mgombea nae haitopatikana.
Nawashangaa akina Mohamedi Mtoi kwanini hawataki kuweka cv ya huyu mgombea wao. Kuwa na cv si lazima awe na shahada za vyuo, inaweza kuwa hajasoma sana lakini kaelimika.
Kamanda, mimi sipo huko kwenye sheria za uchaguzi ni kawaida yetu humu ukumbini kuangalia CV za wagombea majuzi tuliona CV ya dada yetu kule Kalenga tukaijadili ni CV nzuri kwa kweli, siyo vibaya tukiona CV ya huyu mgombea wa Chadema, Chalinze.
MAJIBU YA HOJA YA PILI; Kwanza, nieleze wazi
kuwa nimesikitishwa sana na tuhuma hizi
ambazo zina lengo la kunichafua mbele ya jamii
na Taifa kwa ujumla, zina lengo la kuichafua
jamii ya watanzania kutoka familia za wakulima
na wafugaji, watu ambao wana kipato kidogo
na ambao wanaishi vijijini kuwa ni watu wa
hovyo na hawajui kusoma wala kuandika, ni
tuhuma za kuwadhalilisha watanzania ambao ni
kutoka jamii za wananchi wa vijijini
wanaotafuta fursa ya kuchaguliwa kwamba ni
watu wa wanaoomba nafasi wakiwa hawajui
kusoma wala kuandika, kwa kweli nasikitika
sana kwa hili na lilikuwa tusi ambalo
msimamizi wa uchaguzi hukupaswa kulipokea.
Aidha, nashindwa kutoa ushahidi hapa kwani
hata wewe umeziamini tuhuma hizi kuwa mimi
sijui kusoma wala kuandika na ndio maana
ukanitaka nizijibu, japo ni ukweli ulio wazi kuwa
sahihi yangu kwenye fomu haikuwa ya "kuweka
dole gumba" niliweka sahihi kwa kuandika na
mbele yako na sikuandikiwa. Pili; Yafaa
mgombea huyu pamoja na wale wote
waliomtuma wakatoa ushahidi wake kwako
kuwa mimi Mathayo Mang'unda Torongey sijui
kusoma wala kuandika, na hii itamsaidia
kuaminika mbele ya jamii ya wananchi wa
Chalinze ambao anataka kuwaongoza. Hata
hivyo naomba nitoe majibu mbele yako kwa
maandishi na kwa kusoma kitu ambacho wewe
utataka nisome na kuandika ili uwe uthibitisho
kwako kuwa najua kusoma na kuandika .
Sidhani kama 2tapata CV apa
Mkuu wangu Rich PolMkuu Ritz ukiona polojo nyingi na CV haitoki ujue shule huyi hana au hajakamilika, angekuwa na elimu huyo wala isingechukua muda kuletwa hapa.
Wanaukumbi.
Kuna utata wa elimu ya mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chadema Mathayo Torongey, kuna wengine wanasema kasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wengine wanasema kasoma Uingereza.
Mwenye CV yake tunaomba atuwekee kama walivyofanya kwa Grace Tendege, mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga.
Ni vizuri tukajua viwango vya elimu vya mgombea kama utaratibu wetu humu JF.
Yaan kashindwa ata kusema ningepataje div 4 ya form 4 kama sijui kusoma na kuandika?bila shaka huyu kweli hakuhudhuria kabisa darasani.