Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,530
- 43,913
Wanaukumbi.
Kuna utata wa elimu ya mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chadema Mathayo Torongey, kuna wengine wanasema kasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wengine wanasema kasoma Uingereza.
Mwenye CV yake tunaomba atuwekee kama walivyofanya kwa Grace Tendege, mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga.
Ni vizuri tukajua viwango vya elimu vya mgombea kama utaratibu wetu humu JF.
Kuna utata wa elimu ya mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chadema Mathayo Torongey, kuna wengine wanasema kasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wengine wanasema kasoma Uingereza.
Mwenye CV yake tunaomba atuwekee kama walivyofanya kwa Grace Tendege, mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga.
Ni vizuri tukajua viwango vya elimu vya mgombea kama utaratibu wetu humu JF.