Mwenye CV ya mgombea wa CHADEMA Chalinze Mathayo Torongey

Mwenye CV ya mgombea wa CHADEMA Chalinze Mathayo Torongey

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
54,530
Reaction score
43,913
Wanaukumbi.

Kuna utata wa elimu ya mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chadema Mathayo Torongey, kuna wengine wanasema kasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wengine wanasema kasoma Uingereza.

Mwenye CV yake tunaomba atuwekee kama walivyofanya kwa Grace Tendege, mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga.

Ni vizuri tukajua viwango vya elimu vya mgombea kama utaratibu wetu humu JF.
 
Makamanda mpo wapi mbona huyu mgombea wa Chadema, Chalinze amuweki CV yake kama yule mama wa Kalenga.
 
Tupe ya huyo teja wenu.
Kamanda kwani kuna ugomvi kuna ubaya kuomba CV ya mgombea wa Chalinze. Kwanza nawapa pongezi kwa kushinda pingamizi.
 
Kamanda kwani kuna ugomvi kuna ubaya kuomba CV ya mgombea wa Chalinze. Kwanza nawapa pongezi kwa kushinda pingamizi.
hakuna ubaya ila tuambie kwanza sheria ya uchaguzi inasemaje?? mgombea anatakiwa awe na elimu ya kiwango gani ?? na kanma haitaji kiwango cha elimu wewe elimu yake unaitakia nini mbona lusinde kaishia la nne sisi hatuulizi elimu yake? au wewe unadhani elimu kubwa ndo uongozi bora ? mbona kapuya ni prof lakini amebakia kubaka na kufundisha vijana kuuza sembe??????
 
hakuna ubaya ila tuambie kwanza sheria ya uchaguzi inasemaje?? mgombea anatakiwa awe na elimu ya kiwango gani ?? na kanma haitaji kiwango cha elimu wewe elimu yake unaitakia nini mbona lusinde kaishia la nne sisi hatuulizi elimu yake? au wewe unadhani elimu kubwa ndo uongozi bora ? mbona kapuya ni prof lakini amebakia kubaka na kufundisha vijana kuuza sembe??????
Kamanda, mimi sipo huko kwenye sheria za uchaguzi ni kawaida yetu humu ukumbini kuangalia CV za wagombea majuzi tuliona CV ya dada yetu kule Kalenga tukaijadili ni CV nzuri kwa kweli, siyo vibaya tukiona CV ya huyu mgombea wa Chadema, Chalinze.
 
Wanaukumbi.

Kuna utata wa elimu ya mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chadema Mathayo Torongey, kuna wengine wanasema kasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wengine wanasema kasoma Uingereza.

Mwenye CV yake tunaomba atuwekee kama walivyofanya kwa Grace Tendege, mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga.

Ni vizuri tukajua viwango vya elimu vya mgombea kama utaratibu wetu humu JF.

tupe kwanza ya kwako na uzoefu wako
 
Mimi siyo mwanasiasa kamanda, mimi ni mpiga kura tu.

Heshima yako mkuu. Mkuu kumbe unaweza kuongea kistaarabu kiasi hiki? Sasa huwa inakuwaje unajitoa ufaham siku zingine!? Anyway ni haki yako kupata cv ya mgombea yeyote iwe na wa ccm au CDM. Wenye nayo naomba iwekeni ili kuondoa dukuduku la riz.
 
Iliwahi kuombwa cv ya Mbowe humu lakini mpaka leo sijaiona. Isije kuwa na huyu mgombea nae haitopatikana.

Nawashangaa akina Mohamedi Mtoi kwanini hawataki kuweka cv ya huyu mgombea wao. Kuwa na cv si lazima awe na shahada za vyuo, inaweza kuwa hajasoma sana lakini kaelimika.
 
Last edited by a moderator:
Kamanda, hiyo nayo tutaifungulia uzi wake tumalize kwanza na CV ya Mathayo Torongey.

Hatuitoi kaitafute wewe mwenyewe mwenye shida ya hiyo CV, kwani wakati Lameck Airo, Maji Mrefu na Lusinde walipokuwa wakigombea uliomba CV zao?
 
Back
Top Bottom