Mwenge, Dar: Mtoto wa mtaani (Chokoraa) apigwa hadi kufa

Dunia inakwenda kasi sana.
Watanzania msipotumia akili mtakufa na kuteseka sana.

Ona sasa mnatoa uhai wa kijana mdogo kwa kuiba kidude kidogo saaana kwenye used car ya mtanzania mwenzake "utawasikia wanasema wezi sana hawa acha tuwakomesha" kijana wa watu hata chai asubuhi hii unakuta hajanywa na usiku amepata dinner ya kuunga unga ya chapati ya maharage.. Huyo aliyeibiwa utakuta naye gari amenunua baada ya kudhurumu na kufanyia watu makubashi kibao.. Pembeni hapo mwenge kuna majamaa yana nguo nyeupe na viefd machine's wanachukua hela zenu bure mnashindwa kuwaadhibu, kuna majamaa yanatembelea maV8 kila uchwao yanawaibia mnalialia tu mnashindwa kuwachukulia hatua... FIKIRI KWANZA KABLA YA KUCHUKUA maamuzi kama haya maana hata huyo uliyemuua anaweza kuwa mwanao uliyemtelekeza kule kigoma kakua kaja mjini baada ya kukosa malezi bora, vipi zile mimba tunazokataaga tunajua wale watoto wako wapi?
 
ifike wakati kabla ya kufanya maamuzi hebu tujaribu kufaa viatu vyao na tuone ingekuwa sisi tungefanyaje? imenichukua muda mrefu kuamua kusoma uzi huu kwa kufikiria uchungu na mateso aliyoyapata mtoto huyu kwa yaliyotokana na malezi mabaya au kutowajibika kwa wazazi.
upo uwezekano mkubwa watoto hawa walikataliwa na baba zao au hawakutendewa haki kwenye jamii kama watoto wengine ikawalazimu wajikatae na kuwa machokoraa achilia mbali waliotolewa kafara kuwa hivyo kwa ajili ya biashara za jamaa zao hapo mjini na leo inawezekana tukaona ni kifo cha kawaida kumbe ndo hatua za ukamilisho kuwa msukule zimekamilika.
binadamu tumekuwa watu wa roho mbay tunajari fedha na mali kuliko uhai wa mtu huwenda wangemkamata wakampeleka polisi njiani wakati wa kumuhoji mtoto angeweza kukutana na huruma zenu ambazo zingemfanya awe sehemu nyingine kimaisha siku zijazo.
jamii inatakiwa ijifunze kutafakari kwa kina kabla ya kufanya maamuzi si swala la hasira hizi damu ndizo zinazotugharimu kwa kuwa zinalaani nchi.
 
ifike wakati kabla ya kufanya maamuzi hebu tujaribu kufaa viatu vyao na tuone ingekuwa sisi tungefanyaje? imenichukua muda mrefu kuamua kusoma uzi huu kwa kufikiria uchungu na mateso aliyoyapata mtoto huyu kwa yaliyotokana na malezi mabaya au kutowajibika kwa wazazi.
upo uwezekano mkubwa watoto hawa walikataliwa na baba zao au hawakutendewa haki kwenye jamii kama watoto wengine ikawalazimu wajikatae na kuwa machokoraa achilia mbali waliotolewa kafara kuwa hivyo kwa ajili ya biashara za jamaa zao hapo mjini na leo inawezekana tukaona ni kifo cha kawaida kumbe ndo hatua za ukamilisho kuwa msukule zimekamilika.
binadamu tumekuwa watu wa roho mbay tunajari fedha na mali kuliko uhai wa mtu huwenda wangemkamata wakampeleka polisi njiani wakati wa kumuhoji mtoto angeweza kukutana na huruma zenu ambazo zingemfanya awe sehemu nyingine kimaisha siku zijazo.
jamii inatakiwa ijifunze kutafakari kwa kina kabla ya kufanya maamuzi si swala la hasira hizi damu ndizo zinazotugharimu kwa kuwa zinalaani nchi.
Kijana nimependa sana wazo lako ps njoo PM now
 
noma sana,kwa nini hukupiga simu police kituo si kipo nyuma ya stand tu apo! not making sense wezi wakubwa wa mabilio mnawaacha wanakula viyoyozi mdokozi wa wiper anauwawa asbh na mapema! aibu kubwa sana.
 
Daaaah hapana kwani hata kumvunja mkono ni adhabu kubwa sana kwani ingewezekana hata kumpa kumchukua yule toto na kumpeleka home na kumpa hata kazi ili aondokane na Maisha ya mtaani
Hawa watoto ni wezi huwezi kupatia ajira nyumbani kwako,wameisha haribikiwa kichwani siku nyingi
 
noma sana,kwa nini hukupiga simu police kituo si kipo nyuma ya stand tu apo! not making sense wezi wakubwa wa mabilio mnawaacha wanakula viyoyozi mdokozi wa wiper anauwawa asbh na mapema! aibu kubwa sana.
We acha tu nilitamani hata kuingilia kati ila nilikuwa Siti ya nyuma sana kwa daladala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom