Mwendokasi wahujumu Uchumi

Mwendokasi wahujumu Uchumi

This is number mjomba, hiyo typing error inafanya hesabu zako ziwe wrong.

Ukianza na kuandika Kilometa/Lita ukaja ukaendelea hesabu zako kwa Lita/Kilometa tayar uko nje correct answer.

Ingekua unafanya Civics labda ukikosea point moja unaweza kupata points zingine zikakubeba, lakini sio number.
hesabu za mwisho hukuangalia?, si ungesema tu nibadilishe units ili kila kitu kikae sawa , badala yake ukaona ujitoe ufahamu kwa kupiga hesabu za lita 47 kwa km 20 inawezekana kweli hiyo hesabu kwa mtu timamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
All in all nilisharekebisha kwa matumizi ya baadaye, natumaini umeridhika mkuu, !!

Baada ya kurekebisha Kuna kitu hakipo sawa tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hesabu za mwisho hukuangalia?, si ungesema tu nibadilishe units ili kila kitu kikae sawa , badala yake ukaona ujitoe ufahamu kwa kupiga hesabu za lita 47 kwa km 20 inawezekana kweli hiyo hesabu kwa mtu timamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Braza, hesabu huanzia juu kushuka chini.

Kama juu unakoanzia uko wrong basi hata chini unakoelekea ni wrong, labda uwe umefoji jibu hivyo unabuni buni tu numbers.
 
Braza, hesabu huanzia juu kushuka chini.

Kama juu unakoanzia uko wrong basi hata chini unakoelekea ni wrong, labda uwe umefoji jibu hivyo unabuni buni tu numbers.
Haya mkuu nadhan tumemaliza Hilo,, tujenge Taifa sasa ,

Sent
 
hesabu za mwisho hukuangalia?, si ungesema tu nibadilishe units ili kila kitu kikae sawa , badala yake ukaona ujitoe ufahamu kwa kupiga hesabu za lita 47 kwa km 20 inawezekana kweli hiyo hesabu kwa mtu timamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaporekebishwa kubali.
Usjifanye kuwa mbishi tuuu wakati makosa ya kijinga ya uandishi umefanya mwenyewe
 
Wala sio kujiaibisha, kulikuwa na typing errors hapo ,kwa common sense tu ungeweza kutatua maana hata hesabu zilizofata zilisadifu uhalisia , ungewezaje kutumia Lita 47 kwa kilometa 20? ,


Sent
😃😃😃😃😃
Next time kuwa makini na hesabu jombaa acha kujifanya mjuaji wakati umetoa boko.
 
Back
Top Bottom