Mwendokasi wahujumu Uchumi

Mwendokasi wahujumu Uchumi

Mkuu tafuta hata kavitz.. utaachana na hayo malalamiko
Unajua gharama za kuoperate Vitz? Ama ndio bendera ufuata upepo nitoke kimara mpk kariakoo na parking nitumie 20,000 wakati kupanda mwendokasi natumia 1,300 kwenda na kurudi unahangaika na Vitz madeni kibao na ukute unapanga. Tunachalalamikia hapa uwepo usafiri rahisi ili kila mtu aweze kusave na kuachana na gharama za magari binafsi. Jaribu kutembea nchi za wenzetu wanavibito wamepark wanatumia kwa nadra sana.
 
Kwa sasa haiwalipi labda serikali iingilie kwa kutoa ruzuku. Basi refu 1=siti 42×650=27,300
Mafuta si chini ya lita 20×2000=40,000.

Yaani hata ukishusha abiria wote ubungo wapande wengine utapata 54,600 Kwa maana umepata 14,600.hapo haujalipa dereva, wala haujafanya service kwa maana hiyo kwa sasa biashara ni ngumu.

Siwatetei ila huo ni uhalisia. tunaofanya biashara hii tunajua changamoto zilivyo kwa sasa.
fuel figures zako sidhan kama ni sahihi unless uwe unataka tu kuwatetea hao mwendokasi

kimara to gerezani ni km 19, average truck loaded with 30 tons ina rate ya 0.5 litres per km hizo ni km20 tunategemea lingekuwa lori hapo lingetumia lita 10 tu, likiwa loaded na 30 tons,

hizo basi hata wakati kabla ya korona ambapo zilikuwa zina pakia abiria 200 +( 20 tons) bado zisingeweza kulinganishwa na mzigo wa lori la 30 tons ,Labda sana sana zingetumia ratio ya 0.4, ambazo ni wastani wa lita 8 kwa km 20. kwa sasa abiria ni 42 almost nusu tani , zipe ratio ya 0.3 .

hesabu zako ziwe hivi 42x650= 27300
6litres ×1800=10800

kama watashuka wote ubungo basi itakuwa 54600- 10800

43800 kwa trip

hiki ni kipindi cha mpito tu ,kuna kipindi haya mabasi yalikwenda kwa faida ya zaidi ya laki kwa trip.


Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa haiwalipi labda serikali iingilie kwa kutoa ruzuku. Basi refu 1=siti 42×650=27,300
Mafuta si chini ya lita 20×2000=40,000.

Yaani hata ukishusha abiria wote ubungo wapande wengine utapata 54,600 Kwa maana umepata 14,600.hapo haujalipa dereva, wala haujafanya service kwa maana hiyo kwa sasa biashara ni ngumu.

Siwatetei ila huo ni uhalisia. tunaofanya biashara hii tunajua changamoto zilivyo kwa sasa.
mkuu, kwani mafuta ya Shilingi 40000 uliyosema yanaenda safari ngapi kabla hayajaisha?
 
Kwa sasa haiwalipi labda serikali iingilie kwa kutoa ruzuku. Basi refu 1=siti 42×650=27,300
Mafuta si chini ya lita 20×2000=40,000.

Yaani hata ukishusha abiria wote ubungo wapande wengine utapata 54,600 Kwa maana umepata 14,600.hapo haujalipa dereva, wala haujafanya service kwa maana hiyo kwa sasa biashara ni ngumu.

Siwatetei ila huo ni uhalisia. tunaofanya biashara hii tunajua changamoto zilivyo kwa sasa.
Wakati ule wanatengeneza faida triple kwa kujaza abiria kama nzi wa chooni, ni muda muafaka wa kurudisha sehemu ya faida kwa jamii, CORPORATE SOCIAL RESPONSIBILITY...
Ingekuwa kampuni ya beberu, ingeshikiwa bango juu ya hili, maadam ni kampuni ya kibongo kawaida kukuta kuna vivuli vya mikono na miguu ya vigogo wa chama fulani..

Ni aibu na ni irresponsibility ya hali ya juu...kwa abiria ambao wanawakatisha tiketi.

Ifike mahali RC, DC, mawaziri na wakurugenzi watumie usafiri wa umma kama huo, ndiyo tutajua kweli yananiendesha kwa hasara..

Everyday is Saturday...........................😎
 
Hapana,
Wangeamua kufanya hivi,kwa wale abilia ambao wanakwenda moja kwa moja toka kimara kwenda kaliakoo au kivukoni ndo wanapanda magari ya kawaida na Kama unataka kushuka njiani unapanda magari ya udart ili ushuke kwenye vituo vyao nahisi kusingekuwa na tatizo hili
... Unasahau biashara ya daladala iko kwenye kushusha na kupakia mara nyingi kadiri iwezekanavyo. Unaposema yaende moja kwa moja hakuna biashara hapo.
 
Unajua gharama za kuoperate Vitz? Ama ndio bendera ufuata upepo nitoke kimara mpk kariakoo na parking nitumie 20,000 wakati kupanda mwendokasi natumia 1,300 kwenda na kurudi unahangaika na Vitz madeni kibao na ukute unapanga. Tunachalalamikia hapa uwepo usafiri rahisi ili kila mtu aweze kusave na kuachana na gharama za magari binafsi. Jaribu kutembea nchi za wenzetu wanavibito wamepark wanatumia kwa nadra sana.
Ndio upambane na mwendokasi bila kulia lia mzee baba.

Unafananisha 'public transport' za huko mambele vs bongo?
 
... wanapunguza gharama za uendeshaji hususan hayo mabasi marefu ni gharama sana kuyaweka barabarani likiwa na abiria wachache - kumbuka ni level seat hakuna kusimama.
Kwahiyo abiria wateseke vituoni ili wenyewe wasave costs ?
 
Ndio upambane na mwendokasi bila kulia lia mzee baba.

Unafananisha 'public transport' za huko mambele vs bongo?
Unadhani mbele walifanikiwa kutokana na nini ebu jiulize hauwezi kuogopa kuiga kutoka mbele kisa wewe ni mjinga. Kinachofanyika hapa ni uhuni haiwezekaniki gari zilale kituoni kisa wanaogopa hasara.
 
... Unasahau biashara ya daladala iko kwenye kushusha na kupakia mara nyingi kadiri iwezekanavyo. Unaposema yaende moja kwa moja hakuna biashara hapo.
Mwendokasi pia inashusha na kupandisha kupitia vituo vyake hivyo. Hapa hauna hoja mkuu
 
Kinachoendelea katika mradi wa mwendokasi ni matokeo ya namna yetu ya kufikiri. Unapokuwa zero kwenye kufikiri hata kwenye utendaji huwa zero! Mradi unaendeshwa kizwazwa Sana, ukifikiria kuhusu jangwani ndio unachoka kabisa!
 
Unadhani mbele walifanikiwa kutokana na nini ebu jiulize hauwezi kuogopa kuiga kutoka mbele kisa wewe ni mjinga. Kinachofanyika hapa ni uhuni haiwezekaniki gari zilale kituoni kisa wanaogopa hasara.
Sasa kama wewe unahisi ukiwamaindi wao mwendokasi ndio watabadilika basi fresh lkn kama hupendi fujo za kuchomeshwa mahindi kituoni,jasho za wananchi,kujazwa kama magunia na hii corona basi hakuna option zaidi ya kuvuta chombo chako.
 
Sasa kama wewe unahisi ukiwamaindi wao mwendokasi ndio watabadilika basi fresh lkn kama hupendi fujo za kuchomeshwa mahindi kituoni,jasho za wananchi,kujazwa kama magunia na hii corona basi hakuna option zaidi ya kuvuta chombo chako.
Sio lazima kuchagua option ya kuvuta gari ndio kuondokana na kero je kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kuvuta chombo watasemewa na kutetewa na nani?
 
Sio lazima kuchagua option ya kuvuta gari ndio kuondokana na kero je kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kuvuta chombo watasemewa na kutetewa na nani?
Mimi mwenyewe sina wa kunitetea napambana na hali yangu tu mzee baba,hao wanyonge rais atawatetea maana alishajipambanua vyema kutetea wanyonge.
 
Mimi mwenyewe sina wa kunitetea napambana na hali yangu tu mzee baba,hao wanyonge rais atawatetea maana alishajipambanua vyema kutetea wanyonge.
Maisha mema kama una Vitz jitahidi kuwapa rais msaada wa ride
 
Kinachoendelea katika mradi wa mwendokasi ni matokeo ya namna yetu ya kufikiri. Unapokuwa zero kwenye kufikiri hata kwenye utendaji huwa zero! Mradi unaendeshwa kizwazwa Sana, ukifikiria kuhusu jangwani ndio unachoka kabisa!
Yaani abiria ili wapande gari lazima wafanye vurugu kwa wakata tickets, huu mradi unaendeshwa kihuni sana.
 
Sio kama hawataki kuzitoa hizo gari ukweli ni kua hizo gari zilikufa hata kabla ya hii level seat... Cha kusikitisha hizo gari hata miaka minne hazijafikisha hasara tupu
 
fuel figures zako sidhan kama ni sahihi unless uwe unataka tu kuwatetea hao mwendokasi

kimara to gerezani ni km 19, average truck loaded with 30 tons ina rate ya 0.5 km per litre hizo ni km20 tunategemea lingekuwa lori hapo lingetumia lita 10 tu, likiwa loaded na 30 tons,

hizo basi hata wakati kabla ya korona ambapo zilikuwa zina pakia abiria 200 +( 20 tons) bado zisingeweza kulinganishwa na mzigo wa lori la 30 tons ,Labda sana sana zingetumia ratio ya 0.4, ambazo ni wastani wa lita 8 kwa km 20. kwa sasa abiria ni 42 almost nusu tani , zipe ratio ya 0.3 .

hesabu zako ziwe hivi 42x650= 27300
6litres ×1800=10800

kama watashuka wote ubungo basi itakuwa 54600- 10800

43800 kwa trip

hiki ni kipindi cha mpito tu ,kuna kipindi haya mabasi yalikwenda kwa faida ya zaidi ya laki kwa trip.


Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
duuh 0.5 siichezo, so kuna wataki hapa hapa ndani unatia wese la million kwenye gari
 
Back
Top Bottom