Mwendokasi wahujumu Uchumi

Mwendokasi wahujumu Uchumi

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,449
Reaction score
10,756
Hawa wamiliki wa huduma ya mwendokasi ni wahujumi uchumi. Inakuingia vipi akilini kuona magari mengi yameegeshwa na huku abiria wamepangwa foleni. Mamlaka husika fanyeni maamuzi magumu.

20200526_094551.jpg
20200526_094731.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
... wanapunguza gharama za uendeshaji hususan hayo mabasi marefu ni gharama sana kuyaweka barabarani likiwa na abiria wachache - kumbuka ni level seat hakuna kusimama.
Seriously? Hayo mabasi ni kwa ajili ya kubananisha abiria ka fusso a mihogo Mkuranga? So ni BORA yapaki, watu wakose huduma kuwahi kwenye shughuli za kiuchumi?? Au sijakuelewa ni sarcasm...

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Kwa sasa haiwalipi labda serikali iingilie kwa kutoa ruzuku. Basi refu 1=siti 42×650=27,300
Mafuta si chini ya lita 20×2000=40,000.

Yaani hata ukishusha abiria wote ubungo wapande wengine utapata 54,600 Kwa maana umepata 14,600.hapo haujalipa dereva, wala haujafanya service kwa maana hiyo kwa sasa biashara ni ngumu.

Siwatetei ila huo ni uhalisia. tunaofanya biashara hii tunajua changamoto zilivyo kwa sasa.
 
Seriously?
Hayo mabasi ni kwa ajili ya kubananisha abiria ka fusso a mihogo Mkuranga? So ni BORA yapaki, watu wakose huduma kuwahi kwenye shughuli za kiuchumi?? Au sijakuelewa ni sarcasm...

Everyday is Saturday........................... 😎
... exactly na ndivyo yalivyotengenezwa. Nafasi kubwa ni ya kusimama badala ya kukaa.
 
Kwa sasa haiwalipi labda serikali iingilie kwa kutoa ruzuku.
Basi refu 1=siti 42×650=27,300
Mafuta si chini ya lita 20×2000=40,000.
Yaani hata ukishusha abiria wote ubungo wapande wengine utapata 54,600
Kwa maana umepata 14,600.hapo haujalipa dereva, wala haujafanya service kwa maana hiyo kwa sasa biashara ni ngumu.
Siwatetei ila huo ni uhalisia. tunaofanya biashara hii tunajua changamoto zilivyo kwa sasa.
... uko sahihi Mkuu; huo ndio uhalisia; namba hazidanganyi.
 
Kwa sasa haiwalipi labda serikali iingilie kwa kutoa ruzuku.
Basi refu 1=siti 42×650=27,300
Mafuta si chini ya lita 20×2000=40,000...

Wakati huu ingekuwa ni hatua muafaka kama mabasi makubwa ya daladala yangepewa leseni za muda za kusafirisha abiri kupitia barabara za mwendokasi.

Mlundikano wa abiria KImara mwisho, Feri na baadhi ya vituo vya njiani huwachukua abiria kusubiri usafiri wa level seat wa kati ya saa moja hadi tatu kituoni,

kiasi cha kufifisha na kupoteza umuhimu wa dhana ya kuzuia mikusanyiko ili kujikinga na mambukizi ya virusi COVID - 19, na Huduma ya Usafiri wa mwendo kasi.
 
Kuyaacha hapo na kuyatoa rush hour kuna faida ama hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
... ni hasara; kumbuka hata rush hour kipindi hiki cha Corona bado ni level seat. Kuna mdau kadadavua vizuri hapo juu gharama za kuyaendesha.

Labda ushauri ungekuwa serikali itoe ruzuku otherwise haiwezekani kuyaendesha kibiashara kwa mtindo wa level seat.
 
Wakati huu ingekuwa ni hatua muafaka kama mabasi makubwa ya daladala yangepewa leseni za muda za kusafirisha abiri kupitia barabara za mwendokasi. Mlundikano wa abiria KImara mwisho, Feri na baadhi ya vituo vya njiani huwachukua abiria kusubiri usafiri wa level seat wa kati ya saa moja hadi tatu kituoni, kiasi cha kufifisha na kupoteza umuhimu wa dhana ya kuzuia mikusanyiko ili kujikinga na mambukizi ya virusi COVID - 19, na Huduma ya Usafiri wa mwendo kasi.
... tatizo jinsi vituo vilivyojengwa sio rafiki kwa mabasi ya daladala ambayo milango ya abiria iko kushoto wakati vituoni wanatakiwa kushukia kulia.

Labda waendeshee kulia kama mataifa mengine lakini pia italeta disaster na pia italazimu mabasi mengine yote ya mwendokasi yaondolewe barabarani zibaki daladala peke yake.

Tatizo lingine, vituo the way vilivyojengwa kuna proportionality kati ya kimo cha kituo na mlango wa gari so daladala hazita-fit. Kwa uchache changamoto ni hizo.
 
Wakati huu ingekuwa ni hatua muafaka kama mabasi makubwa ya daladala yangepewa leseni za muda za kusafirisha abiri kupitia barabara za mwendokasi...
Je, miundombinu ya BRT inaruhusu basi za kawaida kushusha na kupakia abiria?.

Pili kuna vigezo ukishaingia kwenye mfumo wa BRT hauruhusiwi kuingiza magari mengine ya tofauti na mfumo huo unavyotaka.

Najua kwa sasa kuna gari zimeruhusiwa kupakia abiria kwa vibali maalum kutoka LATRA kwenda mjini.
 
Kwa sasa haiwalipi labda serikali iingilie kwa kutoa ruzuku. Basi refu 1=siti 42×650=27,300
Mafuta si chini ya lita 20×2000=40,000.

Yaani hata ukishusha abiria wote ubungo wapande wengine utapata 54,600 Kwa maana umepata 14,600.hapo haujalipa dereva, wala haujafanya service kwa maana hiyo kwa sasa biashara ni ngumu.

Siwatetei ila huo ni uhalisia. tunaofanya biashara hii tunajua changamoto zilivyo kwa sasa.
Na wakati ule wanapakia watu150 na kuendelea walikuwa wanafurahia tu faida zaidi ya Mara 10 now ni kipindi Cha kusaidia wananchi ni kwa masaa machache wangekuwa wanayatoa hapo kwa route mbili kwa siku
 
... tatizo jinsi vituo vilivyojengwa sio rafiki kwa mabasi ya daladala ambayo milango ya abiria iko kushoto wakati vituoni wanatakiwa kushukia kulia.

Labda waendeshee kulia kama mataifa mengine lakini pia italeta disaster na pia italazimu mabasi mengine yote ya mwendokasi yaondolewe barabarani zibaki daladala peke yake.

Tatizo lingine, vituo the way vilivyojengwa kuna proportionality kati ya kimo cha kituo na mlango wa gari so daladala hazita-fit. Kwa uchache changamoto ni hizo.
Hapana,
Wangeamua kufanya hivi,kwa wale abilia ambao wanakwenda moja kwa moja toka kimara kwenda kaliakoo au kivukoni ndo wanapanda magari ya kawaida na Kama unataka kushuka njiani unapanda magari ya udart ili ushuke kwenye vituo vyao nahisi kusingekuwa na tatizo hili
 
Kwa sasa haiwalipi labda serikali iingilie kwa kutoa ruzuku. Basi refu 1=siti 42×650=27,300
Mafuta si chini ya lita 20×2000=40,000.

Yaani hata ukishusha abiria wote ubungo wapande wengine utapata 54,600 Kwa maana umepata 14,600.hapo haujalipa dereva, wala haujafanya service kwa maana hiyo kwa sasa biashara ni ngumu.

Siwatetei ila huo ni uhalisia. tunaofanya biashara hii tunajua changamoto zilivyo kwa sasa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom