Mwendokasi ni mateso!!



Bado tupo nyuma sana, hii yote inatokana na nafasi nyeti za uongozi kushikwa na watu wasio na ubunifu, kwa hali ya kawaida ilipaswa viongozi nao wawe wanasafiri kwa usafiri huo ili kuonja kero zake na kisha kuzifanyia kazi badala ya kusikilizia adha za usafiri huo jamvini
 
Hawawezi kupanda humo watakosa pumzi sie wenyewe tunapanda kwa vile hatuna usafiri mwingine, yaani wachukue hatua haraka hali sio nzuri kabisa hata maambukizi ya maradhi ni rahisi.
 
Kituo cha mwanamboka ( studio) Kwa njia ya kwenda Morroco kila siku kuanzia mida ya Saa 8 mchana tiketi hamna , wana print kituo kingine mnasubir lisaa zima , zikija mkienda kuscan inakwambia "wrong date", then wanakwambia pita direct, Pesa wanajua wanapopeleka,
 
Hawawezi kupanda humo watakosa pumzi sie wenyewe tunapanda kwa vile hatuna usafiri mwingine, yaani wachukue hatua haraka hali sio nzuri kabisa hata maambukizi ya maradhi ni rahisi.


Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli hebu sema neno moja tu! mwendokasi itakuwa kama ilivyokusudiwa
 
Aisee sasahivi niko hapa DIT kituoni, mabasi hakuna na kama likipita linakua limejaa kwelikweli.. Wanafunzi nao wanasota tu hapa.. Sad..
 

Unaonaje sasa tukarudi kwenye ule utaratibu wetu wa KIMARA MWISHO-POSTA saa 2-3?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…