Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,179
He he he he, hajayajua huyu, labda anayabip.
Ngoja nikabwie libwata mie kwa hiari.
Ngoja nikabwie libwata mie kwa hiari.
Ujue wewe una roho mbaya ndio maana hata haufurahii mapenzi. Kutekwa raha bwana, nani alikuambia ukitekwa unapigwa makonzi? Hivi mapenzi ya kudundana bado yapo?
Sikiliza hapa kwa Barnaba
Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
ah ah nabembelezwaa ah
Mapenzi si mchezo nami
Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
ah ah nabembelezwaa ah
<span style="color: rgb(0, 0, 0); font-family: Arial, sans-serif; font-size: 16px;">
Cc Kongosho
:mwaaah::mwaaah::mwaaah:
Last edited by a moderator: