Mwendo huu sidhani kama tutafika, tukipishana jambo kidogo tu kasusa

Deeboyfrexh

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
3,240
5,251
Nimekuanae kwa takribani mwezi mmoja na nusu sasa. Yuko very romantic, sweet tender loving! Cha kushangaza najihisi kama nashindwa kumzoea hivi maana kila tukipishana kwa jambo hata liwe dogo kiasi gani basi anakuwa kama kasusa.

Indirectly tukilizungumzia tatizo tukamaliza anadai yuko sawa ila kimtindo kunakuwa na mis-treatment flani anayoidhihirisha hata kwa kauli tu, inakuwa kama namlazimisha kuongea ikiwa yeye hana hamu tena ingawa anakuwa ananijibu on time.

Nimekuja kwenu wanajamvi, kama kuna mtu ana uzoefu na aina hii ya wanawake.Tunaishi nao vipi jamani? How to deal with it! Naona kama nitashindwa kukaza, sijazoea.
 
Hii ni kama mahusiano yangu na baby wangu japo hatujaoana yeye akinuna huwa ananisusa na kutaka kuondoka kabsa... ila kwa kuwa nimemsoma tabia yake hata hanisumbui... Ana wivu balaaa hata meseji ikiingia tu Kwenye simu yangu anadai ni ya hawala anasirika balaaa... kama vipi wewe msome hapendi vitu gani hapo ndo mtaenda na wewe unatakiwa uonyeshe kumjali ili ajione ni wa maana na anapendwa... 😂 wanawake ni viumbe dhaifuuu😍😍
 
6c0f58db-655b-4e2b-b1db-ce34299e4cec-medium.jpeg
 
Akiwa bubu we kuwa kiziwi.....
akikasirika bembeleza atleast uoneshe umejali, akiendelea kununa na kuvuta mdomo unakua kama wa bata nawe uchune, kama ye kijike anune milele!!!

Evelyn Salt nitjaribu kumpigia kimya one time nione kama ataweza vumilia. Ila kwa nini huwa mnatususiaga lakini?
 
Last edited by a moderator:
BansenBurner huyu ni chotara mkuu, mixa ya mchaga na mgiriki...Mpole huyoo halafu yuko vizuri mpaka najiskia vibaya akinunaga,becomes a problem

Mh hyo mixer noma cna experience nayo lkn watt wakichaga wako poa tu mapoz tu hayo unaweza mrekebisha" cha muhmu uwe unakaza as a man unapoona kitu hakiko ryt unamwambia na unamwambia hupend sio unamuachia hyo tabia itajijenga kwake. Kila mtu anatatzo lke na hakuna tatzo lisilo na solution..
 
Last edited by a moderator:
Wala si utoto!! na sikuwa hakupendi....Anakupenda sana anapenda kudeka na kubembelezwa tu na hilo siyo tatizo ukizoea hali yake na kuijua kuishi naye
Mkiwa na tatizo usiforce liishe mwache aongee mpaka amalize na umsikilize.
Onesha unajali hisia zake na anachokisema....then mbembeleze kwa kauli nzuri za mahaba ikiwezekana mpe na mbo!
Hatakua na kitabia hicho tena! mtaishi kwa amani
 
Kuna mambo mengine s ya kuyapa kipaumbele Sanaa kama hili mwache adeke deke akadeke kwa yupi sasa 😂
 
Back
Top Bottom