young eagle
Member
- Jul 28, 2015
- 29
- 4
Kuwa makini sana usijekufanya jambo kubwa la kumuudh apo ndiyo itkuwa bye bye
loveissweet im glad it has worked out!Dear you are patient but learn how to be more patient with her.. if you can tolerate her well ... Thanks..
tajirijasiri nampotezea vipi kwaa mfano
Wala si utoto!! na sikuwa hakupendi....Anakupenda sana anapenda kudeka na kubembelezwa tu na hilo siyo tatizo ukizoea hali yake na kuijua kuishi naye
Mkiwa na tatizo usiforce liishe mwache aongee mpaka amalize na umsikilize.
Onesha unajali hisia zake na anachokisema....then mbembeleze kwa kauli nzuri za mahaba ikiwezekana mpe na mbo!
Hatakua na kitabia hicho tena! mtaishi kwa amani
Nimekuanae kwa takribani mwezi mmoja na nusu sasa. Yuko very romantic, sweet tender loving! Cha kushangaza najihisi kama nashindwa kumzoea hivi maana kila tukipishana kwa jambo hata liwe dogo kiasi gani basi anakuwa kama kasusa.
Indirectly tukilizungumzia tatizo tukamaliza anadai yuko sawa ila kimtindo kunakuwa na mis-treatment flani anayoidhihirisha hata kwa kauli tu, inakuwa kama namlazimisha kuongea ikiwa yeye hana hamu tena ingawa anakuwa ananijibu on time.
Nimekuja kwenu wanajamvi, kama kuna mtu ana uzoefu na aina hii ya wanawake.Tunaishi nao vipi jamani? How to deal with it! Naona kama nitashindwa kukaza, sijazoea.
Kuna watu ndivyo walivyo naturally kwa hiyo ni kuishi nao hivo hivo.
Nimekuanae kwa takribani mwezi mmoja na nusu sasa. Yuko very romantic, sweet tender loving! Cha kushangaza najihisi kama nashindwa kumzoea hivi maana kila tukipishana kwa jambo hata liwe dogo kiasi gani basi anakuwa kama kasusa.
Indirectly tukilizungumzia tatizo tukamaliza anadai yuko sawa ila kimtindo kunakuwa na mis-treatment flani anayoidhihirisha hata kwa kauli tu, inakuwa kama namlazimisha kuongea ikiwa yeye hana hamu tena ingawa anakuwa ananijibu on time.
Nimekuja kwenu wanajamvi, kama kuna mtu ana uzoefu na aina hii ya wanawake.Tunaishi nao vipi jamani? How to deal with it! Naona kama nitashindwa kukaza, sijazoea.
umeona eeh hanipendi kabisa.. Af kubembeleza zironever dealt with one, ila nadhani ukimpenda manzi kwa dhati, hizo ni karaha ndogo sana ambazo zinahitaji muda tu kurekebishana. Besides, it's only been a month brother, maybe you ain't that into her, man.
Hapa ndipo naamini kweli hugharimu uanaume wa kweli kuishi na mwanamke Jenerali Ambamba nitakomaa nadhani hili pungufu linavumilika, tatizo cjalizoea
umeona eeh hanipendi kabisa.. Af kubembeleza ziro
Dawa ya mpenz msusaji wewe ndo uwe msusaji mara 2 yake.Badili style ya maisha uwe unpredictable hii itakusaidia.Mapenzi ni kupendana hakuna anayefanya fever kumpenda mwenzie mwanaume ukijishusha sana ininaboa flani hivii sometimes.Kuwa na msimamo,mpe huyo mtoto changamoto.Fanya haya ukiwa na uhakika wewe sio mtu wa kuridiarudia makosa maana pia inaweza iiawa sababu ya kususa.Usiogope uhusianao kuvunjika kama anakupenda hawez kwenda popote.
au bado mwanafunzi?
Kuwa makini sana usijekufanya jambo kubwa la kumuudh apo ndiyo itkuwa bye bye
Akisusa unamwacha kwanza hasira zipungue. Akiwa sawa anakutafuta mwenyewe.
loveissweet im glad it has worked out!