Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 835
- 1,817
Kwa hili, wametudanganya.Wao DART wanachojua ni kusimamia mapato tuu
Yaani ENG aendeshe mradi alafu mwisho wa siku ategemee gawio kutoka DART 🤫
Kwa hili, wametudanganya.Wao DART wanachojua ni kusimamia mapato tuu
Yaani ENG aendeshe mradi alafu mwisho wa siku ategemee gawio kutoka DART 🤫
Kama wameamua kubinafsisha na iwe total wasimamie uendeshaji,ukusanaji mapato,Admin Yaani walipe gharama za Barbara na Kodi ya serikali basi.Udart wapewe kazi nyingine.Serikali imedhamiria kusaini mkataba wa ubia na Shirika la Emirates National Group (ENG) lenye makao yake makuu Dubai ili kuendesha usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar (DART) awamu ya 1 mwezi ujao.
ENG chini ya Mkurugenzi Bw. Ahmed Abood Al Boasy (Pichani) inamiliki na kuendesha makampuni ambayo yanashughulika na njia zote za usafiri wa kibinafsi na wa umma, pamoja na huduma zao za ziada.
Kamishna wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema kuwa ENG ilishinda zabuni hiyo.
Serikali imechukua hatua ya kukaribisha sekta binafsi kuendesha DART ili kuboresha huduma za usafiri mijini kutokana na kasi kubwa ya mabasi kuharibika, kuruka abiria kwenye stendi nyingi za mabasi mbali na vituo vikuu na mabasi mazima kubaki machache.
Mwekezaji huyo atapewa nafasi ya kupewa ruti kwenye awamu ya pili ya mradi iwapo itathibitika kuwa ameweza kuboresha huduma kwa kiasi kikubwa.
Kafulila aliongeza kuwa kuwa mwekezaji mpya anatarajiwa kuleta idadi ya kutosha ya mabasi ili kumaliza msongamano huo.
Kafulila alisema pia kuwa utiaji saini unatarajiwa kufanyika wiki mbili zijazo, huku ENG ikitarajiwa kununua mabasi na kutoa huduma za usafiri “wakati jukumu la DART litakuwa ni kusimamia mapato.”
Tulitaka gender badala ya kuangalia ufanisi.Kazi ipo.
Ondoa shaka bibie. Mfumo una count kila cent. Wakizila zitatokea kwenye tundu lolote kwenye mwili wao😂😂😂Kwanini mapato washike DART, huko si kupeleka chui kwenye zizi la mbuzi?
kila zama na kitabu chakeNyerere aliwaamini Wachina kwenye uwekezaji
Mwinyi aliwaamini Wananchi wake kwenye uwekezaji
Mkapa aliwaamini Makaburu kwenye uwekezaji
Kikwete aliwaamini Wazungu kwenye uwekezaji
Magufuli aliwaamini Wahindi na Mawaziri na Ma RC wake waongo uanzishwaji viwanda
Mama Samia anawaamini Waarabu kwenye uwekezaji
Ngoja tuone!
"When the stundent is ready, the teacher will appear, when the student is really ready, the teacher will dissappear."Kumbe hujuma zote zile ilikua njia ya kuwasafishia waarabu ulaji
Jambo jemaSerikali imedhamiria kusaini mkataba wa ubia na Shirika la Emirates National Group (ENG) lenye makao yake makuu Dubai ili kuendesha usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar (DART) awamu ya 1 mwezi ujao.
ENG chini ya Mkurugenzi Bw. Ahmed Abood Al Boasy (Pichani) inamiliki na kuendesha makampuni ambayo yanashughulika na njia zote za usafiri wa kibinafsi na wa umma, pamoja na huduma zao za ziada.
Kamishna wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema kuwa ENG ilishinda zabuni hiyo.
Serikali imechukua hatua ya kukaribisha sekta binafsi kuendesha DART ili kuboresha huduma za usafiri mijini kutokana na kasi kubwa ya mabasi kuharibika, kuruka abiria kwenye stendi nyingi za mabasi mbali na vituo vikuu na mabasi mazima kubaki machache.
Mwekezaji huyo atapewa nafasi ya kupewa ruti kwenye awamu ya pili ya mradi iwapo itathibitika kuwa ameweza kuboresha huduma kwa kiasi kikubwa.
Kafulila aliongeza kuwa kuwa mwekezaji mpya anatarajiwa kuleta idadi ya kutosha ya mabasi ili kumaliza msongamano huo.
Kafulila alisema pia kuwa utiaji saini unatarajiwa kufanyika wiki mbili zijazo, huku ENG ikitarajiwa kununua mabasi na kutoa huduma za usafiri “wakati jukumu la DART litakuwa ni kusimamia mapato.”
Wewe unaamini mapato watachukua selikali?Huyu mwekezaji nae chizi..unawekeza halafu mapato bado wanachukua walioshindwa kujiendesha ?
HahahahahahaWewe unaamini mapato watachukua selikali?
Hiyo ni lugha ya kulainisha wapumabvu wa tz
Kwa hiyo unafurahia wenzako kupata Masaibu/ajali kisa na sababu ana itikadi na ushabiki wa chama tofauti?Wapiga kura wa CCM , wagongana na chuma cha mjapani , Minjingu Arusha, TANZANIA
View attachment 2946561
Kinacholalamikiwa ni serikali kushindwa kuendesha mradi mdogo wa mabasi ya Dar. Kwa hiyo na kuendesha nchi watashindwa!Watanzania hata hamjui mnachotaka. Mabasi hayafanyi kazi abiria wanachelewa serikali ikijaribu kutafuta ufumbuzi mnalalamka sasa mnataka nini?
Nyerere aliwaamini Wachina kwenye uwekezaji
Mwinyi aliwaamini Wananchi wake kwenye uwekezaji
Mkapa aliwaamini Makaburu kwenye uwekezaji
Kikwete aliwaamini Wazungu kwenye uwekezaji
Magufuli aliwaamini Wahindi na Mawaziri na Ma RC wake waongo uanzishwaji viwanda
Mama Samia anawaamini Waarabu kwenye uwekezaji
Ngoja tuone!
Sijui Watanzania tunaweza nini!?Nyerere aliwaamini Wachina kwenye uwekezaji
Mwinyi aliwaamini Wananchi wake kwenye uwekezaji
Mkapa aliwaamini Makaburu kwenye uwekezaji
Kikwete aliwaamini Wazungu kwenye uwekezaji
Magufuli aliwaamini Wahindi na Mawaziri na Ma RC wake waongo uanzishwaji viwanda
Mama Samia anawaamini Waarabu kwenye uwekezaji
Ngoja tuone!
Hapo umenena vyema yaani wanashindwa kuongoza kashirika ka matown busses halafu wanadai wana maarifa ya kuongoza nchi.... washenzi sana hawa maCCM.Kinacholalamikiwa ni serikali kushindwa kuendesha mradi mdogo wa mabasi ya Dar. Kwa hiyo na kuendesha nchi watashindwa!