Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Aliyekuwa Katibu wa Jumuhiya ya Africa Mashariki Mtanzania Balozi Mwapachu amepewa Tuzo ya Ushupavu na Rais Kibaki ikiwa ni kutambua mchango wake katika kuanzisha ushuru na soko la pamoja na kuweka misingi ya kuelekea kuwa na sarafu moja. Wakati Kenya ikimtambua na kumtunuku Mtanzania huyu nchi yake ambayo pia ni Mwanajumuhiya haikumuona kuwemo miongoni mwa watu walioliletea Taifa heshima katika utumishi wa Kimataifa uliotukuka juzi ilipokuwa inahadhimisha miaka 50 ya Uhuru.
Ni aibu iliyoje jirani zetu wanadhamini mchango ya watu wetu kwenye sherehe zao za Uhuru na kuwatunuku nishani huku sie tukionyesha kutowatambua?
Ni aibu iliyoje jirani zetu wanadhamini mchango ya watu wetu kwenye sherehe zao za Uhuru na kuwatunuku nishani huku sie tukionyesha kutowatambua?