Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Mara baada ya kufungiwa na TRA, Redio Free Africa walijiunga na BBC English service saa 24. Lakini sahivi hata hiyo BBC yenyewe haisikiki tena. Saivi ni mawimbi tu shshshshshshhshsh, chchchchchchchchch.