Mwanzoni Radio Free Africa wanatangaza kwa kimombo, sasa watoweka hewani kabisa.

Mara baada ya kufungiwa na TRA, Redio Free Africa walijiunga na BBC English service saa 24. Lakini sahivi hata hiyo BBC yenyewe haisikiki tena. Saivi ni mawimbi tu shshshshshshhshsh, chchchchchchchchch.

RFA wapo hewani kama kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom