Mimi nami naishia kujihisi navibrate hiyo ni stage gani niliyofikiaMkuu Mimi kila nikifanya meditation inafikia hatua kichwa kinauma,basi naishia hapo.next day nikifanya tena kichwa kinuma during the process. Ni kitu gan husababisha kichwa kuumaa au kuna kitu nakosea
Cc Rakims
Kichwa kuuma ni kubadili maendeleo yake mapya yani kuingiza function mpya ya obongo kutoka 10% Kwenda 10.0001 na kuendelea huko hivyo inapofika sehemu kitaacha kuuma na kuendelea vizuri, by then utaexperience kitu kingine kama sankudi kuwasha n.kMkuu Mimi kila nikifanya meditation inafikia hatua kichwa kinauma,basi naishia hapo.next day nikifanya tena kichwa kinuma during the process. Ni kitu gan husababisha kichwa kuumaa au kuna kitu nakosea
Cc Rakims
Sawa mkuu naanza kufanya leoUsiogope mkuu,
haya mambo hakuna lolote linalotokea kupoteza mda tu ata me nimefanya sana lakini sihisi chochoteDah najaribu sana lakini nashidwa sijui shida ni nini.
hii hatua nimeweza kuifikia nini kinafuata??baada ya hiiPale Utakapoweza Kufikia Kuona Matukio Yaliopita Na Paji La Uso Kuleta Mitetemo au mwanga wa nuru ama kidudu kutembea hiyo hatua ya kwanza