Mwanzo wa mapenzi usikudanganye

Mwanzo wa mapenzi usikudanganye

QEEN ADEMU1

Senior Member
Joined
Dec 24, 2019
Posts
134
Reaction score
324
USIDANGANYIKE NA MWANZO

Usidanganyike na hatua za mwanzo za mwanzo, hakunaga mapenzi pale vile visimu na viSMS visivyo na idadi visikufanye ukajisahau ukaingia mpaka na viatu vyako.

Hatua za mwanzo za mahusiano zina maigizo mengi sana na mapenzi hayapimwi katika hatua za awali. acha kujidanganya eti week mbili tu ananipenda sana ananipigia simu kila saa ndugu yangu weee bakiza hata viatu usiingie mpaka ukaisahau akili nje.

Viwiki tu vya mwanzo ushaanza kumuita mume wangu, mke wangu; unaona mnapendana sana mpk unajisahau kabisa na kuanza kumkabidhi vitu vyako muda na wakati wowote yupo huru kwako.

Up and downs na solving techniques zenu katika matatizo yanayowakabili ndizo zitakazoonesha how much mtu anajali na ku-care!

Ukiona mtu badala ya kusolve matatizo yanayotokea kwenye mahusiano anakimbilia kusema "Utajua mwenyewe bana", anakwambia hivyo huku anaendelea kuchati na danga lake.

Sijui "Nakwambia huelewi, amaua unachotaka", mara sijui "We ulitakaje?" hata kosa likiwa lake anageuza kibao ujue tu unapoteza muda, yaani anataka hata kama amekosea yeye wewe muda wote umnyenyekee (sijui ina ukwaju ndani!)

Ashamaliza shida yake lolote linalomtoka mdomoni halali yako. Mtu akikupenda anakuwa na kahofu ka kukupoteza; hata kama atakujibu vibaya lakini baadaye atatafuta muda aje akuombe msamaha, ukiona wa hivyo jua anakupenda.

Anakuwa na woga wa kukuacha loose. Sasa kwa week munawasiliana mara mbili alafu unasema niko kwenye mahusiano; ndugu yangu wee, wewe ni single senior -- huna lolote ni heri uchague tu kama mimi kunyoa au kusuka ijulikane mapema kuliko kusema upo kwenye mahusiano yasiyo na miguu.

Bado unaimani unaamini kuwa kuna siku yatarudia tena yale ya mwanzo, mahali popote mnafatana, usipomuona unahisi kama kuishiwa pumzi.

Kuna watu ni waigizaji sana kwenye mahusiano hakutafuti kabisa lakini akiwa na shida utaanza kuona text my mambo, naomba unisaidie nimekwama ukishampa tu humuoni tena mpaka hata week mbili. Kwanini ujitese; safisha phonebook yako acha ubwege, huu ni mwaka wa kufurahia sio wa kulia.

Kuna wanawake wengine wapo wamekubali kuanzisha uhusiano kumbe lengo atunziwe tu watoto ambao alizalishwa na mabaharia. Mwanzo wanaanza na mapenzi motomoto mpaka mwanaume anajikuta anatangaza ndoa kwa single mother. Subiri watoto wakue wafike drs la iv hivi anaanza kuwasiliana na mabaharia waliomzalisha, kiburi ndiyo kinaanza anaona huwezi tena kumuacha na watoto umeshamkuzishia. Kibaya zaidi unakuta watoto wanaitwa kwa ubini wako! Mapenzi bwana natamani kusema mwanzo unachanganya wengi.

Tuwe makini sana na mwanzo, mwanzo usitudanganye. Katika ndiyo huamua hatima ya mapenzi yetu. Kwa wenza mwaka huuu usifanye kosa la kupost post mpenzi wako mtandaoni hawa watu hawaaminiki mara kusi mara shwari muda wowote sunami inaweza kuingia na ukawa umejichoresha pakubwa.

Niwatakie mchana mwema!

Nimesema kwa heri, kama unakubali gonga like na comment.

Sent using i phone x
 
Calls na ‘vi-sms’ kila saa KOSA, kuwasiliana mara moja kwa wiki KOSA.... hamueleweki mnataka nini.
 
Story ndefu sana mpaka nimeshindwa kuimaliza yote....but mapenzi ni mchezo wa fumbo ambao ni mgumu sana kulifumbua....kila MTU anamtazamo wake katika mahusiano na kila MTU anatarget zake...kumpata MTU sahihi ambaye ataweza kukuridhisha kwa 100% ni ngumu sana ndo maana kucheat hakukwepeki yaani ukiona mwanaume hacheat ujue huyo kuna seehhemu anakwama!! ni kwasababu hakuna MTU aliyekamilika 100% katika kila kitu.

Unaweza ukapata demu mzuri ana sura nzuri, shape safi lakini mzembe kitandani sasa unafikiri kuna mwanaume anayependa kuwa na mwanamke mzembe kitandani? wakati mwingine unaweza ukapata demu yupo fresh kitandani lakini unakuta wakawaida tu....wakati mwingine unakuta demu msafi kwa nje lakini k*ma yake ilivyokaa yaani hata haileweki mpaka mtu unakosa hata hamu!

Mwanaume anaweza akadumu na demu muda mrefu endapo huyo MTU anaangalia asilimia 60 ya vitu ambavyo alikuwa anatarajia kuvipata Ila kama mwanamke atakuwa na sifa chache basi ndipo hapo drama huwa zinaanza coz vile alivyovitegemea hajavipata so what is a point of continue that relationship if your not satisfying? ni mwendo wa kuchapa lapa tu!!

Mambo mengi yakuandika Ila tuishie hapa kwanza mengine mtamalazia wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Story ndefu sana mpaka nimeshindwa kuimaliza yote....but mapenzi ni mchezo wa fumbo ambao ni mgumu sana kulifumbua....kila MTU anamtazamo wake katika mahusiano na kila MTU anatarget zake...kumpata MTU sahihi ambaye ataweza kukuridhisha kwa 100% ni ngumu sana ndo maana kucheat hakukwepeki yaani ukiona mwanaume hacheat ujue huyo kuna seehhemu anakwama!! ni kwasababu hakuna MTU aliyekamilika 100% katika kila kitu.

Unaweza ukapata demu mzuri ana sura nzuri, shape safi lakini mzembe kitandani sasa unafikiri kuna mwanaume anayependa kuwa na mwanamke mzembe kitandani? wakati mwingine unaweza ukapata demu yupo fresh kitandani lakini unakuta wakawaida tu....wakati mwingine unakuta demu msafi kwa nje lakini k*ma yake ilivyokaa yaani hata haileweki mpaka mtu unakosa hata hamu!

Mwanaume anaweza akadumu na demu muda mrefu endapo huyo MTU anaangalia asilimia 60 ya vitu ambavyo alikuwa anatarajia kuvipata Ila kama mwanamke atakuwa na sifa chache basi ndipo hapo drama huwa zinaanza coz vile alivyovitegemea hajavipata so what is a point of continue that relationship if your not satisfying? ni mwendo wa kuchapa lapa tu!!

Mambo mengi yakuandika Ila tuishie hapa kwanza mengine mtamalazia wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake mnatakiwa mtambue kuwa mwanaume anakutamani kwanza then ndo anaanza kukupenda na huko kukutamani kutaishia pale utakapomvulia chupi na hapo ndo determination ya kukaa na ww kwa muda gani ndo unaanza ukiwa mzembe kwenye sex my dear utashangaa kila siku unakimbiwa...mwanaume ukimridhisha kwenye sex utaona mwenyewe atakavyokujali coz we men focus mostly in sex mengine huwa mbwembwe tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwalimu wangu aliwahi kusema darasani nikiwa choo THERE IS NO LOVE ,WHAT WE CALL LOVE IS JUST EMOTIONS
 
Back
Top Bottom