Balaa mkuu.Wanaeleweka sema inabid ujitoe kwel kwel yan.Yan kama una solve maswali ya Nelkon&Parker physics.Calls na ‘vi-sms’ kila saa KOSA, kuwasiliana mara moja kwa wiki KOSA.... hamueleweki mnataka nini.
Mkuu uko vizur.Mpaka huko kwa choo kuna mwalimu??Mwalimu wangu aliwahi kusema darasani nikiwa choo THERE IS NO LOVE ,WHAT WE CALL LOVE IS JUST EMOTIONS