Story ndefu sana mpaka nimeshindwa kuimaliza yote....but mapenzi ni mchezo wa fumbo ambao ni mgumu sana kulifumbua....kila MTU anamtazamo wake katika mahusiano na kila MTU anatarget zake...kumpata MTU sahihi ambaye ataweza kukuridhisha kwa 100% ni ngumu sana ndo maana kucheat hakukwepeki yaani ukiona mwanaume hacheat ujue huyo kuna seehhemu anakwama!! ni kwasababu hakuna MTU aliyekamilika 100% katika kila kitu.
Unaweza ukapata demu mzuri ana sura nzuri, shape safi lakini mzembe kitandani sasa unafikiri kuna mwanaume anayependa kuwa na mwanamke mzembe kitandani? wakati mwingine unaweza ukapata demu yupo fresh kitandani lakini unakuta wakawaida tu....wakati mwingine unakuta demu msafi kwa nje lakini k*ma yake ilivyokaa yaani hata haileweki mpaka mtu unakosa hata hamu!
Mwanaume anaweza akadumu na demu muda mrefu endapo huyo MTU anaangalia asilimia 60 ya vitu ambavyo alikuwa anatarajia kuvipata Ila kama mwanamke atakuwa na sifa chache basi ndipo hapo drama huwa zinaanza coz vile alivyovitegemea hajavipata so what is a point of continue that relationship if your not satisfying? ni mwendo wa kuchapa lapa tu!!
Mambo mengi yakuandika Ila tuishie hapa kwanza mengine mtamalazia wenyewe.
Sent using
Jamii Forums mobile app