Mwanzilishi wa JamiiForums, Maxence Melo atinga Ikulu ya Marekani (White House), awapa ujumbe vijana

Washingitoni Disii au macho yangu, any way; all in all!

ajichunge tu jiwe la kisukuma linasonya tuu sasa ivi huko chato, hapakaliki!


''Siichui hiri ritoto! ritani semerea nini kwa Beperu mkuu !! yanitose uchaguziiini au!. eti weeee! nanii.........subiri nitarionyesha rikirudi! pumbaf sana.'' mimi ndiyo raisi wa wote! mabongo yatasema sana lkn yatarara!'' mfuuuxxzxzxzukunyuuu!!

yasijemkuta ya ANZOLI MAGWANDA.

Wishing all de Best ma meeen! Be care full.
 
Wabongo bhana...akili zetu finyu sana tena sana. Ikulu ya Marekani inafanya kazi mbili kwa wakati mmoja.

Mosi ina'serve kama ofisi ya raisi na kazi zote za kiutendaji za raisi na ofisi zote zilizokuwa chini yake kama maswala ya kiusalama na mambo ya sera za ndani na nje za Marekani na kadhalika...

Pili...ilo ndo nilitaka kuliongelea.
Katika ikulu iyo ya USA kuna historia kubwa sana tena sana ya taifa ili duniani. Yoyote yule tena kwa mihadi maalumu na siku maalumu kila mtu anakaribishwa kutembelea na kusoma historia ya jengo ilo na historia ya USA.

Sasa basi je tumeulizana humu ndani je mtu anaenda kwa sababu ipi kati ya hizo, je kukutana na 'serikali' ya nchi iyo au mtu amepata nafasi adhimu ya kutembelea na kujifunza mambo mawili matatu ya ikulu hiyo?

Tena lazima awekwe kwenye orodha ya watu wengi maana hakuna nafasi ya mtu mmoja mmoja kutembelea 'makumbusho' labda tu uwe kiongozi mkubwa wa nchi au superstar mkubwa ukiwa na kampani yako kubwa ya watu wengi.

Kama ameenda mtu mmoja atajumuishwa kwenye orodha ya watu wengi...hata kama kuna kindergaten school imeenda siku iyo utajumuishwa tu kwenye list yao.
 
Si habari njema kwa utwala uliopo TZ. Tunasubiri sijui watakuja kiaina gani?


Hongera sana Maxence Melo, tuwakilishe watanzania mamilioni sote tuko nyuma yako na tunakuunga mkono wa dhati kabisa. Haluta kontinua!
 
Hongera Maxence Melo. Tuzo uliyoipata naamini itakuwa na impact kwenye uhuru na haki kwa kila mmoja wetu hapa nchini kwetu Tanzania. Uhuru na haki sio tu kwa sekta ya habari hata kwenye sekta nyingine.
 
Back
Top Bottom