Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Hizi rafu ni za kawaida kabisa..........zisitushtue hata kidogo...........Mkubwa huwezi kumnyang'anya tonge mdomoni akawa anakuchekelea..........lazima atapambana sana kulinda ugali wake.....................Ni ubinadamu huo.........