Sio tetesi tena ni taarifa kamili... msimamizi wa uchaguzi anaitwa Ibrahim Lyimo
Sio tetesi tena ni taarifa kamili... msimamizi wa uchaguzi anaitwa Ibrahim Lyimo
Nilijua tu huyo msimamiz atakuwa mtu wa ........................
Mkuu, sauti ya umma ni gazeti sasa ukisema hivi akina MS wanapata promoHawa CCM waachee kuchezeaa SAUTI YA UMMA.....
Huyu msimamizi ni chama gani vile?
Chadema mkoa waliomba mkutano kufanyikia Uwanja wa Furahisha ama Magomeni Mwanza, na wakachelewa kupewa majibu, ikabidi watangaze kuwa mkutano wa Slaa ni leo, sasa Msimamizi wa Uchaguzi akatoa taarifa leo mkutano usifanyike Furahisha maana kuna majukwaa ya mahubiri ya dini lakini watu walishajaa toka asubuhi na FFU wakaenda kuwatimua kwa mabomu. Sasa mkutano unahamia Magomeni.....