Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,884
- 3,806
Kaka N'gwashilalage Kwimba ndani ndani huko kuna mawe balaa Usiombe kuajiriwa huko lakini kwa uzalendo uliotukuka binafsi nimelitumikia Taifa maeneo hayo sana tuna kuhonga kote ili "wafikiliwe zaidi" bado wamekopwa, pumbavu Sana!
Hii nchi ngumu, Nina class mate wangu ambaye form four aliambulia four ya mwisho, ni katibu muhtasi taasisi moja nyeti nchini (TRA, BOT, ...) ana kazi za nje ya kituo mikoani huko..hadi mwenyewe anachagua aende au asiende maana ni za kumwaga, kwa wiki anakunja milioni 2 hadi 3....
Nesi wa hapa N'gwashilalage ambaye yeye ndio daktari, mfamasia, laboratory technician (kazi zote anafanya yeye) serikali haina habari naye hata kumpa kifuta jasho cha IST tu ya mtumba!...
Namalizia na wimbo; Mbinguni kuna makao mazuri, Mbinguni kuna furahaaaa X3
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app