Mwanza: Walimu 250 waandamana kudai malipo ya kazi ya anwani za makazi

na kuhonga kote ili "wafikiliwe zaidi" bado wamekopwa, pumbavu Sana!

Hii nchi ngumu, Nina class mate wangu ambaye form four aliambulia four ya mwisho, ni katibu muhtasi taasisi moja nyeti nchini (TRA, BOT, ...) ana kazi za nje ya kituo mikoani huko..hadi mwenyewe anachagua aende au asiende maana ni za kumwaga, kwa wiki anakunja milioni 2 hadi 3....

Nesi wa hapa N'gwashilalage ambaye yeye ndio daktari, mfamasia, laboratory technician (kazi zote anafanya yeye) serikali haina habari naye hata kumpa kifuta jasho cha IST tu ya mtumba!...

Namalizia na wimbo; Mbinguni kuna makao mazuri, Mbinguni kuna furahaaaa X3
Kaka N'gwashilalage Kwimba ndani ndani huko kuna mawe balaa Usiombe kuajiriwa huko lakini kwa uzalendo uliotukuka binafsi nimelitumikia Taifa maeneo hayo sana tu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mimi siyo mwalimu wala sisomei ualimu ila nagpigania haki na UADILIFU ,nimeona hujatumia lugha ya busara na hekima Ktk kuwasikisha mawazo yako .

Walimu wamenifundisha vitu vingi kwa upendo na UADILIFU mkubwa wkt mwingine wanatusaidia kimawazo ,kutufariji ,kutupongeza shuleni pamoja na kutuongoza kwenye WEMA kwa upendo mkubwa wakati mwingine wanakuwa zaidi ya wazazi.Hivyo lazima iniume nikiona wanakoselewa na kudhalilisha bila adamu kwani natambua michango yao Ktk maisha ya watu wengi ukiacha mbali na kuwasomesha tu.
Bora yako wewe..wenzio tulipitia mikono ya chuma ya walimu vilaza walio kuwa na stress kama za hao walimu wa mwanza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nilichojifunza ni kwamba watu wana fake sana maisha mtu Mtanzania kabisa kuukashifu ualimu hivi na kuapa hutaruhusu ndugu yako awe Mwalimu sioni logic ya kuulaani ualimu kiasi hicho na wengi wao huunga mkono kukashifu unakuta hata ajira hana tupunguze mihemko ndugu zangu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Katika watumishi wote..walimu ndio kutwa kulialia na kulalamika mitandaoni..

#MaendeleoHayanaChama
 
Kaka N'gwashilalage Kwimba ndani ndani huko kuna mawe balaa Usiombe kuajiriwa huko lakini kwa uzalendo uliotukuka binafsi nimelitumikia Taifa maeneo hayo sana tu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe ni mzalendo wa kweli, hata Mimi pia nimelitumikia Taifa langu huko, nimezalisha wajawazito kwa mwanga wa mshumaa na Hakika Mungu ndiye atakayenilipa!
 
Walimu wa nchii kama wana laana vile..yani laki 1 ndio ya kumfanya mtu aandamane. ?

Ndio mana nilikataa na siku zote sitaruhusu ndugu ama rafiki awe mwalimu..bora atafute kazi nyingine ya kufanya.

Ualimu ni umasikini wa kujitakia.

#MaendeleoHayanaChama
Kama umeelimika ukupaswa kusema yote ayo laki cyo pesa ndogo na unajua
 
Walimu 250 kutoka Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza wameandamana hadi ofisi za Halmashauri ya Jiji la Mwanza kudai posho zao za kazi ya kuweka alama za anwani za makazi waliyoifanya kwa siku tano.

Watumishi hao waliandamana jioni ya Aprili 8, 2022 ambapo malipo hayo ni Sh 100,000 kwa siku tano ambapo kila siku malipo yalikuwa ni Sh 20,000 kwa mtu mmoja.

Akizungumzia hali hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel alisema atawasiliana na viongozi wa mradi huo na viongozi wa kata kisha atatoa taarifa kwa walimu hao kuhusu malipo yao.

“Wanatufokea, wanatutukana, sisi ni watumishi wa umma, sasa hivi wanaanza kutuzungusha kuwa tutalipwa kwa kaya kitu ambacho ni tofauti na makubaliano yetu,” alisema mmoja wa waandamanaji hao.

Chanzo: Nipashe
Hii kazi ya kiduwanzi sana yaani ni shidaaaa na umasikini tu
 
Walimu wa nchii kama wana laana vile..yani laki 1 ndio ya kumfanya mtu aandamane. ?

Ndio mana nilikataa na siku zote sitaruhusu ndugu ama rafiki awe mwalimu..bora atafute kazi nyingine ya kufanya.

Ualimu ni umasikini wa kujitakia.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu acha hizo dharau kwa walimu, unaonyesa utoto ulikubuhu. Unataka wasidai haki zao? Kwako hiyo laki ni ndogo ila si kwao.
 
Haya mtwambie kazi zao alikuwa anafanya nani maana masomo yanaendelea,je waliwezaje kuwepo kazini siku ya jumatatu mpaka ijumaa kuanzia 1:30 mpaka 9:30 kama sheria ya utumishi inavyotaka?
Je walikuwa walikuwa wakifanya kazi hizo baada mda wa kazi ama?au walifanya siku za wikiendi?
 
Walimu wa nchii kama wana laana vile..yani laki 1 ndio ya kumfanya mtu aandamane. ?

Ndio mana nilikataa na siku zote sitaruhusu ndugu ama rafiki awe mwalimu..bora atafute kazi nyingine ya kufanya.

Ualimu ni umasikini wa kujitakia.

#MaendeleoHayanaChama
Acha kufuru wewe, kwa hiyo unataka nchi isiwe na walimu au?
 
Ila kwa mwendazake walipata
Hakuna siku ambayo serikali ya CCM itawajali watumishi wa umma. Never ever.

Hata hizo sifa za watumishi wanazompa kikwete ni basi kwa vile hawakumbuki mwaka 2012 wakati wa mgomo ilikuwa kwa kikwete yuleyule.
 
Back
Top Bottom