Vivan cappatinho
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 284
- 238
- Thread starter
- #21
Tayar mkuu
A
We nitumie namba yako pm mi ntakupigia
A
We nitumie namba yako pm mi ntakupigia
Vibarua vipoNishafanya ivyo mkuu, kazi kupata kiwandan ni ngum sana kwa sasa hiv kila tukijaribu tunarudishwa
Ushauri murua sana huu! Bwana mdogo fanyia kazi kilichotolewa na huyu mdauKwa kuanzia Nenda pale mwaloni kirumba. Kuna kazi ya kupakia dagaa kwenye malori, kuna kazi ya kushindilia dagaa kwenye mifuko, kuna kazi ya kushusha mizigo kwenye boti mbalimbali pale.
Ukishapata kamtaji, anza kulangua dagaa kisha kuziuza hapohapo mwaloni hasa wale wa kutoka bukoba-wasikuwa na mchanga
Ukishapata kamtaji pia unaweza nunua smaki na kuwauza
Amka mkuu
Kulea kivipiUnauwezo wa kulea wazee??
Kuna deal la kulea wazee katika kituo cha kulelea wazee
Kulea kivipi
Anza biashara yoyote ya kimachingaNaitaji sana kazi kwa muda mrefu sana, ni kijana wa miaka 24 sina kazi kwa muda mrefu sana hadi naelekea kukata tamaa sina mbele wala sina future yoyote elimu yangu ni darasa la saba ila nina sifa ya uelewa naelewa kitu mapema sana. Nipo mwanza wilaya ya ilemela kata ya mecco kusini. Mwenye uwezo wa kunisaidia tafadhari anisaidie nitafanya kazi yoyote yenye kukimu mahitaji
Njoo Dodoma tufuge kukuNaitaji sana kazi kwa muda mrefu sana, ni kijana wa miaka 24 sina kazi kwa muda mrefu sana hadi naelekea kukata tamaa sina mbele wala sina future yoyote elimu yangu ni darasa la saba ila nina sifa ya uelewa naelewa kitu mapema sana. Nipo mwanza wilaya ya ilemela kata ya mecco kusini. Mwenye uwezo wa kunisaidia tafadhari anisaidie nitafanya kazi yoyote yenye kukimu mahitaji
samahani kaka ofisi zao hao jamaa ziko mjini sehemu ganiNjoo mjini ulizia kampuni hizi za kushusha mizigo gamba gebu friends cargo fulano zipo nyingi sina zinaupungufu mkubwa wa wafanyakazi wa kushusha mizigo kwenye magari ukienda hapo lazima upate kazi nipm nikuunge kama unaona shida kuwafata hao mabosi
Npe maelekezo zaid mkuuNjoo Dodoma tufuge kuku
Yap ni kaka zangu wote haoDikson Dumba,
James Dumba,
Stephen Dumba.
Hao Pia ni Ndugu zako au ni wewe
Hapana ni uzoefu tu wa kukaa mitandaoniMkuu hii elimu ya darasa la saba umeipatia shule gani? Mbona mwandiko umenyooka hivyo? Usijekuwa unatuletea mambo ya Nyete
Unataka akatwe mguuKama uko kwenye jumuia yoyote mfano kanisani tafuta mtu anaetaka dereva boda nawe jifunze haraka kisha mwambie akudhamini au bajaji uanzie hapo
Hapana ni picha tu sio vinginevyoAvatar yako inamaanisha nini?