Mwanza: Nauza Industrial Welding Machine.

Mwanza: Nauza Industrial Welding Machine.

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,861
IMG-20240705-WA0003.jpg


wazee wa kuchomelea vyuma vizito, vigumu

mashine hio hapo inafanya kazi vizuri sana.

niko mwanza igoma

bei elekezi ni Milioni moja Tsh.

Tuwasiliane Whatsapp +255772225555
 
Kwa nini unauza machine nzuri hivi, heavy duty machine hii.
 
Ninayo ya kawaida, na ya kuchaji battery za magari.
kuna mdau hapo juu amelalamikia bei, vipi nimekosea kuuza hio mashine kwa mil 1?
 
kuna mdau hapo juu amelalamikia bei, vipi nimekosea kuuza hio mashine kwa mil 1?
Kitu kinaweza kuwa na thamani kubwa, ila uhitaji wako wa hela ukafanya kikashuka thamani. Sijui umeelewa!
 
Heavy duty machine ya nguvu tena ya maana kabisa hii,
Sijui kwann unaiuza, daaaah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom