Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Ya mstaafu aliyepita.
Nzuri sana... Halafu hapo pembeni ya hilo jengo la bluu kuna kama maghorofa fulani yanajengwa yakikamilika itakuwa powa
Hapo kama Kapripoint vile..Wakuu nimepata picha yake...... Ni haya hapa majengo matatu kando ya malaika..... Yanavutia kiukweli kama ukiyaona..... Naomba anayeyajua anijulishe ni ya nnView attachment 1296428
Sent using Jamii Forums mobile app
(Office, hotel,residents, nk)
Hapana mkuu ni ilemela jirani na Malaika beach resort.... Pia papo jirani na airport...Hapo kama Kapripoint vile..
Ahaa sawa, Ilemela siko mwenyeji huko ndio maana nashindwa kupatambuaHapana mkuu ni ilemela jirani na Malaika beach resort.... Pia papo jirani na airport...
Sema panataka kufanana na huko
Ivi ujenzi wa soko kuu jipya mwanza unaendelea au hakuna jipya mlioko mwanza mtujuzeHapana mkuu ni ilemela jirani na Malaika beach resort.... Pia papo jirani na airport...
Sema panataka kufanana na huko
Wameshazungushia mabati na kubomoa baadhi ya sehemu... Ila nilipopita karibuni niliona kama pako kimya hivi... Naona kama wame pause fulani hivi.Ivi ujenzi wa soko kuu jipya mwanza unaendelea au hakuna jipya mlioko mwanza mtujuze
Hii njia haina gari nyingi Sana kam njia ya kwenda Kisesa Toka town au Ile yakutoka town kupitia Nyegezi stand mpk usagara Huko!! Kwann wasiweke barabara 4 hii yakuelekea usagara toka town nyegezi buhingwa mpk Usagara ambayo kimsingi ni njia iliyobusy Sana!!!
Hiyo njia ina gari nyingi sana zakutosha... Ulishuhudia kadhia ilivyokuwa kipindi haijapanuliwa?Hii njia haina gari nyingi Sana kam njia ya kwenda Kisesa Toka town au Ile yakutoka town kupitia Nyegezi stand mpk usagara Huko!! Kwann wasiweke barabara 4 hii yakuelekea usagara toka town nyegezi buhingwa mpk Usagara ambayo kimsingi ni njia iliyobusy Sana!!!
Typed Using KIDOLE
Labda mkuu wanguHiyo njia ina gari nyingi sana zakutosha... Ulishuhudia kadhia ilivyokuwa kipindi haijapanuliwa?