- Thread starter
- #2,241
safi sanaHii ni kwa chini ndo hipo hivi hila kwa juu ya huu mwonekano kuna gorofa nyingine tatu angalia zile photo vzr, total ni ghorofa nane kwenda juu.
safi sanaHii ni kwa chini ndo hipo hivi hila kwa juu ya huu mwonekano kuna gorofa nyingine tatu angalia zile photo vzr, total ni ghorofa nane kwenda juu.
Wataijenga wapi??View attachment 2181937View attachment 2181938View attachment 2181939View attachment 2181941kuna mahala nimekutana nayo hii, michoro ya chuo cha TIA mwanzacampus
site yao ipo nyashishi karibu na usagara upande wa kulia kama unaenda mjiniWataijenga wapi??
Mwanza inakimbiza mwizi kimya kimya😝View attachment 2181937View attachment 2181938View attachment 2181939View attachment 2181941kuna mahala nimekutana nayo hii, michoro ya chuo cha TIA mwanzacampus
mpaka kieleweke project ni nyingi sema kuzipata ni suala jingineMwanza inakimbiza mwizi kimya kimya😝
Mi nipo hapa iloganzala mbona sijaona izo harakati za kuweka taa?Wameanza wiki kama mbili hivi wanaanzia airport kuja town center
Mbona huwa naskia hilo eneo la buzuruga ni la mtu binafsi?pale ilipokuwa stand ya mabasi buzuruga, manispaa ya Ilemela tayari imeshaandika andiko la kupajenga jengo la kitega uchumi ambalo litajulikana kwa jina la buzuruga comercila centre. kwenye bajeti ya 2022/2023 wameweka kama mradi wa kimkakati.
Hapana ni eneo la halmashauri, lakini kipindi wanajenga stendi walitoa ofa kwa watu wajenge vibanda vyao kwa muda fulani, huo muda ukiisha hivyo vibanda vitakuwa ni mali ya manispaa, kwahiyo hilo eneo lote la buzuruga stendi ni mali ya manispaa ya Ilemela.Mbona huwa naskia hilo eneo la buzuruga ni la mtu binafsi?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Aah basi nahisi hilo eneo halmashauri walilinunua kwa mtu binafsi coz nakumbuka zamani kulikuwaga na mashine ya kusaga eneo hilo hilo.Hapana ni eneo la halmashauri, lakini kipindi wanajenga stendi walitoa ofa kwa watu wajenge vibanda vyao kwa muda fulani, huo muda ukiisha hivyo vibanda vitakuwa ni mali ya manispaa, kwahiyo hilo eneo lote la buzuruga stendi ni mali ya manispaa ya Ilemela.
Hilo ni eneo la halmashauri wanaweza kulifanyia chochote wanachotaka, hakuna mwananchi mwenye share kwenye hilo eneo.Aah basi nahisi hilo eneo halmashauri walilinunua kwa mtu binafsi coz nakumbuka zamani kulikuwaga na mashine ya kusaga eneo hilo hilo.