Mwanza: Aliyeshusha bei ya mahindi asakamwa

Mwanza: Aliyeshusha bei ya mahindi asakamwa

Mzawahalisi, mzigo ulikuwa na vibali vyote halali, alimpatia dalali nakala na yeye kubaki na orijino, siunajua madalali wa kibongo ukimpa document hukawii kulizwa.
 
Username1, uko sahihi ukitizama barabara za kuingia katika masoko ya mwaloni na kilimahewa ni mabovu sana kiasi maroli yenye shehena za mahindi na mchele hayawezi kufika hivyo kulazimika kufaulishwa kwenye mafuso na kuongeza usumbufu
CCM ni ile ile tusitegemee jipya
 
Back
Top Bottom