Sasa hivi ni msimu wa mavuno ya mahindi katika miji ya Guru na Mbarara nchi Uganda. Wafanyabiashara katika miji ya mwanza geita kahama na shinyanga wanafata mahindi nchini uganda na kuwauzia wananchi.
Mfanyabiashara mmoja aliamua kushusha bei ya mahindi ili wananchi wapate unafuu wa maisha cha ajabu viongozi wa jiji la mwanza wamekuwa wakiwasakama wafanyabiashara hao na kuwafungia biashara zao.
Wiki iliyopita katika manispaa ya Ilemela wafanyabiashara wa mahindi walifungiwa biashara zao na kuleta usumbufu kwa wateja.
Mfanyabiashara mmoja aliamua kushusha bei ya mahindi ili wananchi wapate unafuu wa maisha cha ajabu viongozi wa jiji la mwanza wamekuwa wakiwasakama wafanyabiashara hao na kuwafungia biashara zao.
Wiki iliyopita katika manispaa ya Ilemela wafanyabiashara wa mahindi walifungiwa biashara zao na kuleta usumbufu kwa wateja.