A
Anonymous
Guest
Wakulima wa mahindi katika kituo cha NFRA cha kununulia mahindi kilichopo kijiji cha Muze wilaya ya Sumbawanga vijijini hawajalipwa na NFRA pesa za mauzo ya mahindi kwa zaidi ya mwezi mmoja tofauti na ahadi waliyo pewa wakulima ya kulipwa pesa ndani ya siku 14 toka tarehe ya kupima mzigo.
Wananchi wanaomba ufafanuzi kutoka kwa serikali na wakala wa hifadhi ya chakula (NFRA) ni lini wakulima watalipwa pesa zao.
Wananchi wanahitaji kulipwa pesa zao kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa kilimo ambao unaanza siku chache zijazo.
Pia soma
Wananchi wanaomba ufafanuzi kutoka kwa serikali na wakala wa hifadhi ya chakula (NFRA) ni lini wakulima watalipwa pesa zao.
Wananchi wanahitaji kulipwa pesa zao kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa kilimo ambao unaanza siku chache zijazo.
Pia soma