Mwandosya aitwa Dar kwa shughuli maalum

Mwandosya aitwa Dar kwa shughuli maalum

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,418
Reaction score
39,523
Waziri asiye na wizara maalum Prof. Mark Mwandosya ameitwa Dar kwa ajili ya shughuli maalum, imefahamika.

Kwa sasa habari za uhakika kabisa ni kuwa kama waziri mkuu Mizengo Pinda atalazimika kujiuzulu jumatatu basi Prof. Mark Mwandosya ndiye waziri mkuu mpya.

Aidha bado haijadhihirika kama Pinda atakaangwa ingawa tayari kuna kila dalili ya serikali kuanguka kwa mara nyingine tena.

Bado haijafahamika ni nini hasa Mwandosya alichoitiwa Dar ingawa ameitwa huko!
 
Mwandosya si ndiye wizara yake iko na usalama wa taifa ama nakosea?
 
Mbona sijamuona hapa bado mitaa ya Samora,Mirambo na Sokoine!?. Mwambie awahi!
 
haijalishi whether ni porojo ama tetesi,la msingi ni kwamba bado episode za season one zinaendelea.
 
Ameitwa na nani wakati Rais yuko US kwa matibabu!? Mbeba mikasi kweli ana uwezo huo ................... I doubt!!
 
hapa itakuwa balaa, maana huyu na si anumwa ungonjwa usio na maumivu maalumu? dogo mkosamali alisema mzee kama anaumwa apumzike watu mate yakawaruka et hujafa hujaumbika kijana, huyu naona wanamtafatia deal ya matibabu ya kudumu baada ya ubunge.

Hapa tutakuwa na Raisi anaumwa viungo vya uzazi (samahani lile neno la kiingereza nimeshindwa kuandika), waziri mkuu ungonjwa maalumu, wazirii wa utalii anatalii mwenyewe, waziri wa fedha kazidiwa nguvu na naibu wake, waziri wa kilimo kaamua kuonyesha mfano wa kufuga kuku.
 
Back
Top Bottom