Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,044
- 144,425
Naona ametinga shati la UKAWA!Watetezi tv kupitia twitter wameandika hivi:
Breaking News: Mwandishi wa habari wa Deutsche Welle(DW), Ahmad Juma andaiwa Kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupiga picha raia waliozuiwa na polisi kuingia ndani kushuhudia uzinduzi wa Rada mpya eneo la uwanja wa ndege terminal one.
Tunaendelea kufatilia tukio hilo.
View attachment 1209020
View attachment 1209072
UPDATE:
Baada ya mahojiano na vyombo vya usalama, mwandishi huyo ameachiwa huru
wanaanza kuogopa sasa angalau kidogo, ingelikuwa enzi za jana angelitoweka na watu wasiojulikanaWatetezi tv kupitia twitter wameandika hivi:
Breaking News: Mwandishi wa habari wa Deutsche Welle(DW), Ahmad Juma andaiwa Kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupiga picha raia waliozuiwa na polisi kuingia ndani kushuhudia uzinduzi wa Rada mpya eneo la uwanja wa ndege terminal one.
Tunaendelea kufatilia tukio hilo.
View attachment 1209020
View attachment 1209072
UPDATE:
Baada ya mahojiano na vyombo vya usalama, mwandishi huyo ameachiwa huru
Huyu mbwiga kila kitu anatetea hata ambavyo hajui anajiona yeye ndiye ana uchungu kuliko wote,yaani hili chama limekuwa la kishamba mno.An Eagle,
OK sababu sio hiyo. Basi tuambie wewe sababu ni nini?
Utawala huu unajua kujitengenezea uadui! Hakuna mfano.
Nakubaliana na alilosema mtu hapo juu, utasikia ni money laundry au uhujumu
Umempa majibu yaliyokwenda shule haswaa!Una uhakika kwamba hiyo sababu iliyotolewa hapo ni ya Kweli Ndugu?
Na je ulitaka Wananchi wote waingie kwa Fujo ndani ya Uzio hapo Uwanjani kisha walete usumbufu kwa Watu wa Itifaki ambao ndiyo wana Jukumu la Utaratibu mzima wa Matukio ya Rais huku pia wakiwa ndiyo Waratibu wake Wakuu wa Usalama wake popote pale alipo?
Halafu Suala la Kabendera hapo linaingiaje labda? Kwani naona ni kama vile liko 'out of Context ' kabisa.
Tupunguzeni Majungu, Umbeya na Uzushi.