Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,985
- 144,312
Watetezi tv kupitia twitter wameandika hivi:
Breaking News: Mwandishi wa habari wa Deutsche Welle(DW), Ahmad Juma andaiwa Kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupiga picha raia waliozuiwa na polisi kuingia ndani kushuhudia uzinduzi wa Rada mpya eneo la uwanja wa ndege terminal one.
Tunaendelea kufatilia tukio hilo.
UPDATE:
Baada ya mahojiano na vyombo vya usalama, mwandishi huyo ameachiwa huru
Breaking News: Mwandishi wa habari wa Deutsche Welle(DW), Ahmad Juma andaiwa Kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupiga picha raia waliozuiwa na polisi kuingia ndani kushuhudia uzinduzi wa Rada mpya eneo la uwanja wa ndege terminal one.
Tunaendelea kufatilia tukio hilo.
UPDATE:
Baada ya mahojiano na vyombo vya usalama, mwandishi huyo ameachiwa huru