Mwandishi wa Habari wa Deutsche Welle(DW) adaiwa kukamatwa wakati akipiga picha raia waliozuiwa kuingia ndani kushuhudia uzinduzi wa Rada, aachiwa

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,985
144,312
Watetezi tv kupitia twitter wameandika hivi:

Breaking News: Mwandishi wa habari wa Deutsche Welle(DW), Ahmad Juma andaiwa Kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupiga picha raia waliozuiwa na polisi kuingia ndani kushuhudia uzinduzi wa Rada mpya eneo la uwanja wa ndege terminal one.

Tunaendelea kufatilia tukio hilo.



1568638328478.png


2797FA01-49B2-46A1-8447-60C89B739072.jpeg



UPDATE:

Baada ya mahojiano na vyombo vya usalama, mwandishi huyo ameachiwa huru
 
FB_IMG_1568638821066.jpg


Inadaiwa Mwandishi wa habari wa DW Ahmad Juma amekamatwa na polisi baada ya kupiga picha tukio polisi kuzuia wananchi kuingia ndani kwenye uzinduzi wa Radar

Chanzo : WateteziTV

Swali : Ni kweli hii ndio sababu halisi au ndiyo yatakuwa yale ya Kabendera ?
 
Una uhakika kwamba hiyo sababu iliyotolewa hapo ni ya Kweli Ndugu?

Na je ulitaka Wananchi wote waingie kwa Fujo ndani ya Uzio hapo Uwanjani kisha walete usumbufu kwa Watu wa Itifaki ambao ndiyo wana Jukumu la Utaratibu mzima wa Matukio ya Rais huku pia wakiwa ndiyo Waratibu wake Wakuu wa Usalama wake popote pale alipo?

Halafu Suala la Kabendera hapo linaingiaje labda? Kwani naona ni kama vile liko 'out of Context ' kabisa.

Tupunguzeni Majungu, Umbeya na Uzushi.
 
Acha tu wazuiwe kwani walikuwa na umuhimu gani kuhudhuria uzinduzi huo! Mimi nadhani kuna matukio yanayohitaji kuwepo wa wananchi na hilo sio moja ya matukio hayo.
 
Watetezi tv kupitia twitter wameandika hivi:

Breaking News: Mwandishi wa habari wa Deutsche Welle(DW), Ahmad Juma andaiwa Kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupiga picha raia waliozuiwa na polisi kuingia ndani kushuhudia uzinduzi wa Rada mpya eneo la uwanja wa ndege terminal one.

Tunaendelea kufatilia tukio hilo.



View attachment 1209020

View attachment 1209072


UPDATE:

Baada ya mahojiano na vyombo vya usalama, mwandishi huyo ameachiwa huru
Naona ametinga shati la UKAWA!
 
Watetezi tv kupitia twitter wameandika hivi:

Breaking News: Mwandishi wa habari wa Deutsche Welle(DW), Ahmad Juma andaiwa Kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupiga picha raia waliozuiwa na polisi kuingia ndani kushuhudia uzinduzi wa Rada mpya eneo la uwanja wa ndege terminal one.

Tunaendelea kufatilia tukio hilo.



View attachment 1209020

View attachment 1209072


UPDATE:

Baada ya mahojiano na vyombo vya usalama, mwandishi huyo ameachiwa huru
wanaanza kuogopa sasa angalau kidogo, ingelikuwa enzi za jana angelitoweka na watu wasiojulikana
 
Nao wana kiherehere waliambiwa hapa kazi tu hawakusikia.
Mpaka bunge live lilisitishwa kapuku wakachakalike lakini wao bado wanapoteza muda kwenda kushangaashangaa hata kama wanapata mkongoto wa mbwa koko ni halali yao hamna namna.
 
Nao wana kiherehere waliambiwa hapa kazi tu hawakusikia.
Mpaka bunge live lilisitishwa kapuku wakachakalike lakini wao bado wanapoteza muda kwenda kushangaashangaa hata kama wanapata mkongoto wa mbwa koko ni halali yao hamna namna.
 
Una uhakika kwamba hiyo sababu iliyotolewa hapo ni ya Kweli Ndugu?

Na je ulitaka Wananchi wote waingie kwa Fujo ndani ya Uzio hapo Uwanjani kisha walete usumbufu kwa Watu wa Itifaki ambao ndiyo wana Jukumu la Utaratibu mzima wa Matukio ya Rais huku pia wakiwa ndiyo Waratibu wake Wakuu wa Usalama wake popote pale alipo?

Halafu Suala la Kabendera hapo linaingiaje labda? Kwani naona ni kama vile liko 'out of Context ' kabisa.

Tupunguzeni Majungu, Umbeya na Uzushi.
Umempa majibu yaliyokwenda shule haswaa!
 
Back
Top Bottom