PRISCUS JR
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 448
- 236
Kupitia STAR TV leo nimemwona rpc povu likimtoka, kufuatia maswali yaliyoulizwa na mwandishi wa habari sikujua ni wa chombo gani cha habari yakihoji kukinzana kwa taarifa alizozitoa mwanzo kwa wana habari na za sasa kuhusu kuvamiwa kwa wabunge wa CDM, rpc kamtaka mwandishi huyo aondoke na wakati huohuo akiwataka waandishi waripoti yanayosemwa na jeshi la polisi na si za waliovamiwa. habari ili iwe habari ina sifa muhimu iitwayo fareness yaan kuwe na vyanzo tofauti ili kuweka usawa. kwa mwendo huu ni hatari