walikuyu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 572
- 1,188
Wakuu habari za jioni.
Niende kwenye mada moja kwa moja, tumekwama tupo mwanza kwenye sheli inayoitwa nyamhongolo. Tulikuwa tunatoka dodoma kuelekea musoma na gari ya ISAMILO sasa ili gari ni bovu sana limearibika pale maganza likatengemaa sasa tumefika mwanza wanasema gari mbovu wanataka kutupakia kwenye champion ya musoma ambayo nayo imejaa level city sasa sisi kama abiria tumegoma kupanda.
Msaada wa namba za simu za RPC tafadhali.
Niende kwenye mada moja kwa moja, tumekwama tupo mwanza kwenye sheli inayoitwa nyamhongolo. Tulikuwa tunatoka dodoma kuelekea musoma na gari ya ISAMILO sasa ili gari ni bovu sana limearibika pale maganza likatengemaa sasa tumefika mwanza wanasema gari mbovu wanataka kutupakia kwenye champion ya musoma ambayo nayo imejaa level city sasa sisi kama abiria tumegoma kupanda.
Msaada wa namba za simu za RPC tafadhali.