Barakoa 001
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 5,434
- 14,901
Ukiwa hivyo ndivyo unaenda mbinguni, nani amekuambia wanawake wanafanana preference kila mwanadamu ana taste zake msikariri mambo kutaka kuwa mcharo, ishi vile nafsi inataka utaishi kwa raha sana na siku ya mwisho ufurahi na sio hufurahi ila unamfurahisha binadamu ambae muda wowote anakuacha.
Mwanaume kamili ni yule anaetimiza majukumu yake kwa familia yake, kuwapa matunzo mazuri na kuwaongoza katila njia iliyosahii
yote haya na bado unatombewa1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black
2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.
3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo
4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno
5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike
6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa
7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi
8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk
9. Usivae nguo za kubana
10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana
11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako
12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga
Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
hapa kuna watu wataona 10km ni nyingi kumbe za kawaida tuSio mbaya
Hii kama unapata time ya kutembea 10 km kwa siku
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black
2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.
3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo
4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno
5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike
6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa
7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi
8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk
9. Usivae nguo za kubana
10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana
11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako
12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga
Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Kwa hiyo akae Uchi /ajambe mbele ya mwanamke sababu ni kitu anapenda?
Acha umama mkuu.
Rangi ya nguo pink na purple siwezi kuvaa hata siku moja ila njano na maloon kwangu hazina shida., hapa nilipo tu nimepiga tshirt ya long sleeve rangi maloon plain1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black
2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.
3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo
4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno
5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike
6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa
7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi
8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk
9. Usivae nguo za kubana
10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana
11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako
12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga
Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Bila namba 2 nitaishi vipi? Asiniambie ananipenda? Mwenyewe anajua kitakachomkuta, moto atakaowashiwa sio wa kawaida.1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black
2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.
3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo
4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno
5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike
6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa
7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi
8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk
9. Usivae nguo za kubana
10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana
11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako
12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga
Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Kabla sijasahau uneducated mwenyewe.Sasa mbona umama, hizi ni tabia za wanaume washamba yani wanapenda kuforce hoja zao zikubalike na ukiwapinga wanakutukana, eti umama ni dhahiri umejionyesha wewe ni uneducated.
Nakuuliza kwani mkiwa chumbani mnafanya mapenzi huwa mnafanya mkiwa na nguo? Yani nini cha ajabu?
Ukitoka kuoga unavalia wapi nini maana ya kuwa na masterbed room? ukiwa unavaa unavalia wapi nguo au unamwambia akupishe chumbani? nini maana ya kuwa na chumba cha pamoja cha baba na mama, yani niogope kuvaa nguo au kuaachia uume wangu mbele ya mke wangu kisa nitakua sio lijali hizi tafiti mnazitoa wapi? Otherwise uwe na minyamanyama au una kibamia ndiyo utaogopa kukaa utupu mbele ya mke wako, akili za kitoto sana hizi
Hili neno nilishasema sanaUanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Zingatia neno hovyo hovyo,hutakiwi kukaa uchi hovyo hovyo, hutakiwi kufanya chochote hovyo hovyo,hivyo tu.Sasa mbona umama, hizi ni tabia za wanaume washamba yani wanapenda kuforce hoja zao zikubalike na ukiwapinga wanakutukana, eti umama ni dhahiri umejionyesha wewe ni uneducated.
Nakuuliza kwani mkiwa chumbani mnafanya mapenzi huwa mnafanya mkiwa na nguo? Yani nini cha ajabu?
Ukitoka kuoga unavalia wapi nini maana ya kuwa na masterbed room? ukiwa unavaa unavalia wapi nguo au unamwambia akupishe chumbani? nini maana ya kuwa na chumba cha pamoja cha baba na mama, yani niogope kuvaa nguo au kuaachia uume wangu mbele ya mke wangu kisa nitakua sio lijali hizi tafiti mnazitoa wapi? Otherwise uwe na minyamanyama au una kibamia ndiyo utaogopa kukaa utupu mbele ya mke wako, akili za kitoto sana hizi
Shangaa kabisa haswa jiwe angavuniliwa kubahatika kuingia mahabusu kahama kama mtuhumiwa miaka ya 2012.
sikuamini nilichoona wanaume wa kisukuma hawatofautishi chupi za kiume na kike!
wanavaa zozote bila hofu, hadi bikini!
sijui na wanakwake ni hivyo hivyo au la!
We unatufundisha tusipende au?1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black
2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.
3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo
4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno
5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike
6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa
7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi
8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk
9. Usivae nguo za kubana
10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana
11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako
12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga
Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Kwenda zako huko