Mwanaume wiki hufui boxer

Mwanaume wiki hufui boxer

taru

Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
35
Reaction score
16
Habari zenu wanajukwaa.

Mimi nina somo kwa wanaume, hivi usafi wa nguo ya ndani kila siku ni kwa mwanamke peke yake au?

Kiroja cha mwaka mwanamme mzima anasema kutokana na maumbile yetu sisi wanaume tukivaaa boxer hata siku tatu ni sahihi.

Niliposikia hivyo nilijiuliza swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vipi wenzetu hamhisi uvundo.

Haijalishi hali ya hewa ikoje.

Usafi unahitajika kila wakati jamani na si kwa girls tu, jitu lajitia umaridadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata muda wa kusafisha nguo yako ya ndani ni shida.

Inasikitisha kwa kweli, kumbuka fangasi inakunyemelea muda si mfupi.

Other wise uwe na pants nyingi kama ni mvivu wa kufua kila siku.

Chagua wikiend ufue rundo lako.

Boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa

Ni hayo tu please guys be smart in and out.
 
na wenyewe leo zamu yao maanake hii miezi miwili mitatu hapa kati imekuwa ni sheeeeeeeedaaaa kwa wadada,njooni mjibu tuhuma zenu huku.
 
True that! Usafi ni jukumu la wote, haijalishi Me au Ke. Nguo ya ndani inavaliwa once, ukiivua unaoga na kuvaa safi.
Tatizo sie me tunajiachia mno. Uvungu ni uvungu tu, uwe wa Me au Ke. Ukitema hali ya hewa inakuwa mbaya. Tuwe wasafi na watanashati.
 
True that! Usafi ni jukumu la wote, haijalishi Me au Ke. Nguo ya ndani inavaliwa once, ukiivua unaoga na kuvaa safi.
Tatizo sie me tunajiachia mno. Uvungu ni uvungu tu, uwe wa Me au Ke. Ukitema hali ya hewa inakuwa mbaya. Tuwe wasafi na watanashati.

Hakika umenena mkuu
 
..boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa!!!

Be specific be mkubwa ili mjadala unoge, hii mada yako inahusu wanaume wa dar au wanaume wote...

Title na contents kidogo vyanitatiza, hata hivyo ni vyema kuwa msafi kila iitwapo leo...
 
kuna baazi ya wanaume hawajitambui ndo kama hao uliowaongelea hapo ila nahisi kama wapo humu wabadilike
 
True that! Usafi ni jukumu la wote, haijalishi Me au Ke. Nguo ya ndani inavaliwa once, ukiivua unaoga na kuvaa safi.
Tatizo sie me tunajiachia mno. Uvungu ni uvungu tu, uwe wa Me au Ke. Ukitema hali ya hewa inakuwa mbaya. Tuwe wasafi na watanashati.

Shikamoo mpwa.
 
halooooo unamkuta mkaka smart ya mavazi ya nje ngoja avue sasa haujui hii boxer nyeupe au rangi ya maziwa ni shaghalabagala tuu... Na sio boxer tu hata kunyoa nywele za kwapanii kaaa usiombe avae singilendi na anapanda daladala jaman mnatuua . Unakuta mkaka mzuri hehe ngoja anyanyue mikono utaomba konda akwambie we rudi nyuma.
 
halooooo unamkuta mkaka smart ya mavazi ya nje ngoja avue sasa haujui hii boxer nyeupe au rangi ya maziwa ni shaghalabagala tuu.

Hivi uzinzi na uchafu, vyote si vitu vibaya?
 
habari zenu wanajukwaa...mimi nna somo kwa hawa ME,hivi usafi wa nguo ya ndani kila cku ni kwa KE peke yao au? mana kiroja cha mwaka janamme zma linasema kutokana na maumbile yetu sisi ME tukivaaa boxer hata cku tatu ni sahihi...mi hoi kuckia hivyo,swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vp wenzetu..hamhisi uvundo..haijalishi hali ya hewa ikoje..usafi unaitajika kila wakati jamaniii,na si kwa galz tu.Jitu lajitia umaradadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata mda wa kuswafi nguo yako ya ndani ni shidaaaaah,inasikitisha kwa kweli.Kumbuka fangasi inakunyemelea mda c mfupi.other wise uwe na pants as galz nyingi kama ni mvivu wa kufua kila cku..chagua wikiend ufue rundo lako..boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa!!! lol ni hayo tu plz gyz be smart in and out.
Men were made to be managers(getting things done through others)....why should i fua? wakina Hawa hawapo? wameisha? Hata kama sijaoa they will have to do that for me as long as natafuta wanachokitaka!
 
usafi huanzia kwenye nguo za ndani, kweli umesema tuwe wasafi kwa jinsia zote though hili swala mara nyingi huwaangukia ke peke yao, mara nyingi usafi wa nguo za ndani huonekana ni kwa ke tu na midume kujisahau na kuona yenyewe ni sahihi kutokufua miboxer yao na kuivaa bila kubadilisha kwa siku tatu hadi saba.
 
Na wewe kama msafi kwanini unatenga michupi ya kuvaa kila siku na michupi ya kwenda kugegedana....????
 
Well said aiseee wananuka kama mabeberu ... kumbe ndani anauvundo
 
Be specific be mkubwa ili mjadala unoge, hii mada yako inahusu wanaume wa dar au wanaume wote...

Title na contents kidogo vyanitatiza, hata hivyo ni vyema kuwa msafi kila iitwapo leo...

inamaana huyu mtoa maada ni ke?
 
Back
Top Bottom