Mwanamume wa kweli unaweza ku describe kutokana na vigezo, hisia na mtazamo wa mtu binafsi.
Kila mtu ana maneno yake kumuelezea mwanamume wa kweli.
Kwangu mimi mwanaume wa kweli ni yule:-
1. Anayejitambua na kujijua kuwa yeye ni mwanaume na aweze kuudhihirisha uanaume wake.
2.Anayejiheshimu na kuwaheshimu wengine.
3. Mtanashati, rijali na at least masculine.
4.Mwenye kutimiza majukumu yake as a man. (responsible)
5.Mkweli na mwaminifu, but in case akacheat basi atunze heshima na hata akikuchoka awe huru kukwambia ukweli
6. Muwazi na mkweli na mwepesi kuadmit makosa yake inapotokea amekosea.
7.Mtafutaji na muwajibikaji.
8. Very good in bed.
9.Mchangamfu,
10. Jasiri ready to take risks.
11.Asiyesuka nywele, asiyetoboa masikio na kuvaa hereni.
12. Mweusi (ha ha haaaa, weupe msinipige ngumi)