Mwanaume wa ukweli ni yupi!!

Mwanaume wa ukweli ni yupi!!

Yule ambaye anaweza kushinda majaribu ya ngono au anaweza kuvumilia miezi 2/3 kupita bila kufanya tendo au Yule ambaye hawezi kushinda majaribu, akionyeshwa kidogo tu tayari, au hawezi kuvumilia mwezi kuisha.

Yupi kati ya hawa ni mwanaume wa ukweli!!.

hivi kuna mwanaume wa uongo? yeyote mwenye jinsia moja ya kiume ni mwanamme, ila wanatofautiana tabia, mitazamo na fikra.
,
mfano:

1) kunawengine wana spidi ya kukimbia wengine hawana hiyo spidi
2) Wengine wakimya halafu wengine waongeaji sana nk.

wote hawa ni wanaume
 
mwanaume wa kweli hawezi kuvumilia ikapita wiki nzima au mwezi ikiwa mpenzi wake hana matatizo yoyote. mwanaume wa kweli anatakiwa kumkuna mpenzi wake kila siku "haya mambo hayana usharobaro jamani" unaweza ukapoteza mke hv hv!, akachukuliwa na vijana wanaojua kazi.
 
asiyeyumbishwa na upuuzi wa mapenzi
 
...kabaki MANDELA na MUGABE tu... PERIOD. Uliza sasa hawa jamaa once in their life's history walikaa kwa muda gani bila kuona "K''....
 
Back
Top Bottom