Yule ambaye anaweza kushinda majaribu ya ngono au anaweza kuvumilia miezi 2/3 kupita bila kufanya tendo au Yule ambaye hawezi kushinda majaribu, akionyeshwa kidogo tu tayari, au hawezi kuvumilia mwezi kuisha.
Yupi kati ya hawa ni mwanaume wa ukweli!!.
ukiongeza na mawe aka chapaa, mkwanja,,,, hapo unanipata mimi dume la simba.mwanamume wa kweli unaweza ku describe kutokana na vigezo, hisia na mtazamo wa mtu binafsi. Kila mtu ana maneno yake kumuelezea mwanamume wa kweli. Kwangu mimi mwanaume wa kweli ni yule:- 1. Anayejitambua na kujijua kuwa yeye ni mwanaume na aweze kuudhihirisha uanaume wake. 2.anayejiheshimu na kuwaheshimu wengine. 3. Mtanashati, rijali na at least masculine. 4.mwenye kutimiza majukumu yake as a man. (responsible) 5.mkweli na mwaminifu, but in case akacheat basi atunze heshima na hata akikuchoka awe huru kukwambia ukweli 6. Muwazi na mkweli na mwepesi kuadmit makosa yake inapotokea amekosea. 7.mtafutaji na muwajibikaji. 8. Very good in bed. 9.mchangamfu, 10. Jasiri ready to take risks. 11.asiyesuka nywele, asiyetoboa masikio na kuvaa hereni. 12. Mweusi (ha ha haaaa, weupe msinipige ngumi)
Inaonekana swali ni gumu sana!!.
Yule ambaye anaweza kushinda majaribu ya ngono au anaweza kuvumilia miezi 2/3 kupita bila kufanya tendo au Yule ambaye hawezi kushinda majaribu, akionyeshwa kidogo tu tayari, au hawezi kuvumilia mwezi kuisha.
Yupi kati ya hawa ni mwanaume wa ukweli!!.
dume haliwezi kutumia dume vinginevyo sio dume au lina tabia mbovu,anayetumia jike ndio mwanaume wakweli.Anaetumia dume...
wewe umemaliza kila kitu,mwanaume wakweli nimwnye bunduki ya chuma na siyapalastiki.Mwanamume wa kweli ni yule aliyezaliwa dume, rijali na anasimama katika nafasi yake kama kichwa cha familia.
Husninyo kwanza heshima yako. Hiyo tu inatosha!, Furaha hizo ni zipi. Kuna watu wanasema ili uwe mwanaume wa ukweli basi lazima utumie viungo vyako vizuri hata kama ni nje ya ndoa. Yaani lazima ziwe zinachaji haraka.
heshma yako pia mkuu! Mie mwanaume wa kweli kwa kigezo changu ni hicho tu vingnevyo natupa kule!
hahahaaaa...!! tupa kule kabisa. lakini utamjuaje yupi ni yupi?. mia
ukiongeza na mawe aka chapaa, mkwanja,,,, hapo unanipata mimi dume la simba.