- Thread starter
- #61
Nilikuwa sirin na bwana kwa mda usiojulikana maana mahesabu ya mbingun siyo ya Dunian

Nilikuwa sirin na bwana kwa mda usiojulikana maana mahesabu ya mbingun siyo ya Dunian

Salama mkuuHuku kwema mkuu habr ya ulipo
Hahahaaa labda sijaelewaWewe unahisi nimeharibu au hujaelewa
Blind date!Madhara ya kumpenda mtu bila kumuona ni makubwa sana.. Ina maana hapa lengo mpaka litimie lazima muonane.. Akikutosa utakuja tena kuandika huku
Mi mkorofi hapo ndipo nimefeliHabari zenu wadau,
mimi ni binti wa miaka 27 natafuta mume awe mkristo mwenye Hofu kubwa ya Mungu.. Mtafutaji na mkarimu. Asiwe mkali au mkorofi.. miaka kuanzia 28 -35 mrefu kiasi.
Mimi naishi Dar, na elimu yangu ni kiwango cha degree.
alie tayari na mwenye nia tutafutane DM.
Asanteni sana.
Ha ha haKwa vigezo hivyo, labda upeleke oda kwa Mungu
Kuonja inaruhusiwa???Habari zenu wadau,
mimi ni binti wa miaka 27 natafuta mume awe mkristo mwenye Hofu kubwa ya Mungu.. Mtafutaji na mkarimu. Asiwe mkali au mkorofi.. miaka kuanzia 28 -35 mrefu kiasi.
Mimi naishi Dar, na elimu yangu ni kiwango cha degree.
alie tayari na mwenye nia tutafutane DM.
Asanteni sana.
Sawa mkuuHahahaaa labda sijaelewa