- Thread starter
- #21
AsanteLakini sidhani kama ni kuanza maisha. Kila la kheri.
AsanteLakini sidhani kama ni kuanza maisha. Kila la kheri.
Nadhani muhimu ni kuanza na urafiki wa kawaida huku tukichunguzana kama tunawezanaMadhara ya kumpenda mtu bila kumuona ni makubwa sana.. Ina maana hapa lengo mpaka litimie lazima muonane.. Akikutosa utakuja tena kuandika huku
Hahahhahahahhahahaha jamanii! Umejua kunichekesha..UKI HITAJI MWANAUME WA KUMALIZA NAYE MAISHA NIFUATE PM.....
Hahahahahah we jamaa mafuta ya taa sanaUKI HITAJI MWANAUME WA KUMALIZA NAYE MAISHA NIFUATE PM.....
Tulijisahau sana aisee.Katika awamu hii ya Dr. JPM naona mabinti wengi wanahangaikia sana familia.
Vipi mlijisahau mkidhani mambo yataendelea kuwa rahisi eeee???
nina wasiwasi na hii ID lol!!Watakuja wengi sana lakini jaribu kumshirikisha MUNGU utapata aliye chaguo sahihi coz MUNGU wetu ni wa upendo hapendi kuona mtoto wake apotee
..........Huyu kama siyo yule shangazi yangu jje's sijui!!

Mkuu mm nasubiri siku utakayojilipua ww nije pm fastaUmeamua kujilipua sio...
Kila la kheri
Nami nakuja kwako au vpkila la kheri wanakuja
Najilipua kwakoUmeamua kujilipua sio...
Kila la kheri
Mbona usemi awe rijali?Habari zenu wadau,
mimi ni binti wa miaka 27 natafuta mume awe mkristo mwenye Hofu kubwa ya Mungu.. Mtafutaji na mkarimu. Asiwe mkali au mkorofi.. miaka kuanzia 28 -35 mrefu kiasi.
Mimi naishi Dar, na elimu yangu ni kiwango cha degree.
alie tayari na mwenye nia tutafutane DM.
Asanteni sana.
Ww ndiye niliyekuona kwenye maono wakati niko mliman namwita BwanaHabari zenu wadau,
mimi ni binti wa miaka 27 natafuta mume awe mkristo mwenye Hofu kubwa ya Mungu.. Mtafutaji na mkarimu. Asiwe mkali au mkorofi.. miaka kuanzia 28 -35 mrefu kiasi.
Mimi naishi Dar, na elimu yangu ni kiwango cha degree.
alie tayari na mwenye nia tutafutane DM.
Asanteni sana.
Teh teh tehMkuu mm nasubiri siku utakayojilipua ww nije pm fasta
Unataka tukufwe wote ama!!!! Tabia ya kujitoa mhanga sio nzuriNajilipua kwako
Kwema lakini hukooo