Mwanaume Wa Dar

Hahahahahaaa kuna moja hiyo nilipata kwenye wasap ya group flani hivi kuhusu wanaume wa Dar, ngoja niiweke hapa sijui itakubali......



Hahahahaha yaani nilicheka hadi basi.
 
Mwanaume wa dar hawezi panda juu ya mlango huyo ni mwanaume wa mkoani itakua kaangalia movie ya kutisha
 
...ni walaini alafu wanapenda maneno malaini kuliko...... nao wanadanga nowooo days.....kudamshi...my god ! ebooo! wajirekebishee
Oya lovely bird aje? Kudamshi ndiyo nini?
 
Viwanja vinauzwa vipo Yongwe na Mvuti anaehitaji anicheki kupitia 255 713 520 204| 255 625 654 637.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…