Wanaume wa Dar kuna kitu watakuwa wamewafanya wanaune wa huko mkoani, yani kila thread wanaune wa dar!! Wakati huo huo hao wa huko mikoani wanawatuiga wa huku dar. We are leaders kwenu....so kama unaona tunapotea basi jua wew mkia uko unafata huku tuendako. Japo siungi mkono vazi hili mana duh!!