Mwanaume usiyemfahamu

Mwanaume usiyemfahamu

Sakayo nimekumbuka vidio kolu🤣🤣🤣🤣


Hivi huwa wanafanikiw akabisaa kutengeneza hayo mhausiano imara?!!!
Like how unaweza kumchukulia seeious🙆🙆🙆🙆
 
Sakayo nimekumbuka vidio kolu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Hivi huwa wanafanikiw akabisaa kutengeneza hayo mhausiano imara?!!!
Like how unaweza kumchukulia seeious[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hahaha hahaha hahaha
Niache na video kolu wanguuu
 
Mambo zenu.
Unajua nimekaa nikawaza sana kwanini yanatokea haya unajenga feelings kwa mtu hamjaonana na kweli unamadai kuwa unamwanaume ukiulizwa umewahi muona nope .
Ila tunachatigi how jamani acheni kupotezeana muda.
Unakuta mtu kapenda picha zako kwenye mitandao ya kijamii at the end of everything unakuta unaamini kuwa iko siku utamwona na kuwa naye.
Hujali hata anamke au anademu wewe kukaa nakumuota tu.
Asilimia kubwa huyo mtu kama hayupo karibu yako ni ngumu mtu akate tiketi aje kukuona mtu asiyemjua.
1.Labda kaishiwa mademu
2.Labda naye anataka kuwa na urafiki wa far ila kweli sioni kama unaweka akilini kila kitu anachosema kuwa atakufanya atafanya.
3.Kila mara nahisi kama kunaupotezaji wa muda eti mwanaume kakuziria eti unalia na kumuwaza ukiulizwa eti john .
John mwenyewe ni video calls tu.
Kweliiii.
Je na nyie mnalionaje hili kwa sababu mimi naona kama hizo ni waste of time kudeal na mapenzi ambayo ni kapa.
Hunawahi kumuona mtu halafu eti uko interested???
Inakuja kweli??View attachment 1059088

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mwanamke anaandika sana, nyuzi za mapenzi hasa akitoa nasaha za maana, afu asipotee jukwaani mwaka wa kwanza yupo, mwaka wa pili yupo tu, jua ni kimeo huyo..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom