kidambinya
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 1,176
- 1,713
Kuna wanaume wana vyote vitatu. Mashine na kuwa handsome ni vitu natural, si kitu mtu utakihangaikia ila pesa zinatafutwa. Wanaume mahandsome pia wanachakarika na bahati inakuwa yao kuwa wamebarikiwa kuwa navyo vyote. Issue ya kusema wanaume mahandsome hawana hiki ama kile ni uvumi unaozushwa na wanaume wasiojiaminiKuna mwanaume Handsome, mwanaume mashine na mwanaume pesa
ukiendekeza uhandsome na umashine utakuta kijana amewekwa ndani na bi kizee kinamtunza
Vijana msipende miteremko
Unakianza kujua wanataka nini basi unakaribia kufaMimi sio handsome lakini nawatafuna ile mbaya tena bila pesa,
Wanawake sijui mpaka kesho huwa wanataka nini,?
Sent using Jamii Forums mobile app
I used to be like you when i was in my late 10's. Believing in the so called "destiny" till i realized that its what i decide thats really in control of where im going. Stop relying too much on whats written by others, you have yourself and path. Just make tiny decisions and act on them seriously. Nothing on your target 'll become impossible easily
Kuna wanaume wana vyote vitatu. Mashine na kuwa handsome ni vitu natural, si kitu mtu utakihangaikia ila pesa zinatafutwa. Wanaume mahandsome pia wanachakarika na bahati inakuwa yao kuwa wamebarikiwa kuwa navyo vyote. Issue ya kusema wanaume mahandsome hawana hiki ama kile ni uvumi unaozushwa na wanaume wasiojiamini
I'm humbled mkuu. Nilipitia one time ile thread ya kupigika baada ya kukosa kazi and your story inspired me alot. For you to apprecciate what i 've just written is more than a pleasure. Barikiwa mkuu
Mkuu umeongea ukweli. Unajua hizi mambo ni maskini tu tunajifarijiNi sawa na kuamini kuwa kila tajiri hatouona ufalme wa Mungu. Kuna watu matajiri, mahandsome, wachamungu, genius na Heaven wataingia pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume ukiwa handsome na huombwi hela ujue unakula wanaohudumiwa na wanaume wenzio, zamu yako ya kuliwa haijafika, ila itafika.
Hii story ifungulie uzi, hapa unakua unatubania uhondo.we mleta mada umenifanya nicheke sana
nilivyokuwa nasoma diploma singida dah sjui ndo hvyo au bahati tu maana walikuwa wanajigonga hatari mie bichwa hilo sasa kuna mmoja ndo nkamwelewa akawa kama mke sema akili za kichwa cha chini bwana zikiwa hewani unakuwa kama chizi maana kumuuliza kama ameolewa,maana alikuwa anasishi kwenye nyumba nzuri gari safi kazi sikuijua alindanganya tu kuwa kaka zake wako US, siku ya siku tuko ndani tunasikia mlango unafnguliwa wa uani naambiwa mme wangu ndo huyo amekuja nilikuwa mdogo hatari,nakumbuka tu nilikaa chini ya uvungu wa kitanda kwa zaidi ya siku mbili mwisho wa siku wakatoka na mkewe wanarudi siku inayofata hpo nlishapigika siku 3 no msosi nilivyopata upenyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume hutakiwi kupenda mteremko kabisa , haya mambo hua yanamuda wake , kuna muda utafika hata mwanamke Wa kukuhonga utamtafuta kwa tochi,Naposema mwanaume ukiwa handsome, namaanisha mwanaume ukiwa na sura nzuri ya kiume, mrefu, na mvuto kama wote, asilimia kubwa ya wadada utakaowatongoza hawatakuomba hela muda mfupi baada ya ww kuwatongoza, na papuchi utapewa kirahisi sana..
Ukimwambia aje gheto, hautazungushwa mwezi mzima na kupewa masharti na visingizio vya Mara ooh Niko busy, cjui kuna mahali inatakiwa niende, sms atajibu kwa wakati, ukimwambia njoo gheto cku flani bhas atakuja cku hiyo hiyo, baada ya wiki au siku 4, au hata siku hiyo hiyo baada ya kumtongoza, mdada atajileta gheto mwenyewe kidume unakula mzigo.
Mdada anaeweka ugumu na kukupa masharti na visingizio kwenye kutoa papuchi, baada ya ww kumtongoza, Mara nyingi 98% of the time, huyo mdada hastahili muda wako..
Fikiria baadhi wale wadada waliokupa papuchi kirahisi baada ya ww kuwatongoza walikuonaje, probably kwenye mahusiano walikuwa wanajipendekeza sana kwako, na wanakupa heshima kama zote, tena wanakwambia flani you are so handsome, sometimes na pesa wanakupa..
Kwa wale mafamba wa humu jf wanaojitoa ufahamu na wanaosema mwanaume kuwa na sura nzuri ni ushoga, mnakaribishwa