kidambinya
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 1,176
- 1,712
Unaweza kuwa handsome na usiwe na nyota ya kupendwa. Mimi sio mrefu, mweusi, pua ya kiafrika, sio Tajiri ila nagonga wanawake wazuri. Ninachofahamu ni kuwa mwanamke anaweza kupenda kitu kimoja tu kutoka kwako na akakupatia mzigo.
Kuna mdada aliniambia nimekupenda kwa kuwa wewe ni mweusi, meno yako yanang'aa na pia vidole vyako vizuri.
Funzo: Uzuri wako upo katika macho ya anayekupenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mdada aliniambia nimekupenda kwa kuwa wewe ni mweusi, meno yako yanang'aa na pia vidole vyako vizuri.
Funzo: Uzuri wako upo katika macho ya anayekupenda.
Sent using Jamii Forums mobile app